johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya yote ni cha Mtoto Kwa MSENGE.Rubnish na Mshamba lipi tusi hapo.
Funga kazi ni ile matusi aliyomtukana sana Edward Lowassa.Halafu anakemea matusi
Mtanikumbuka 😂😂😂
Hili la bandari haliwezi kuisha.Tunaenda patamu sn
Tutafanyaje wakubwa wakisainiHili la bandari haliwezi kuisha.
Hii ni nyumba ya urithi.
Tumesema haiuzwi..
Matusi alitukana Sadifa bhana 🤣🤣Funga kazi ni ile matusi aliyomtukana sana Edward Lowassa.
Nape ana mdomo mchafu sana.
Yaani kuna wanasiasa wengine waliitwa "wezi kama kunguru". Hahaha!Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Mimi sijaona tusi ,nani asiyejua Raisi anaakili ndogo hadi wanomtetea wanaona aibu ,Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Mwaka mpya upi tena John?Heri ya Mwaka Mpya!
Kwani mtu kuambiwa ukweli ni kumtukana!Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Kutaja wasifu wa mtu siyo matusi.Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Wa Waislamu 1445Mwaka mpya upi tena John?
Na huyo unayemuita shujaa naye aliwadharau wastaafu kwa kusema WANAWASHWAWASHWA..!!Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Tukuwekee hapa Matusi ya nguoni ambayo Nape alimtukana Lowassa ? Hii ya Lissu ni lugha kali ya kukemea haijawahi kuwa matusi , labda kama wewe ni mgeniNi vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Wakati wanaccm wakimkebehi Lowassa kwa kashfa mbofumbofu za maradhi ulikuwa haujazaliwa?Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa JMT kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na Watu wakakaa kimya
Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu Huyu ni Ni Yeye CCM ikapiga kimya
Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya
Leo mbegu ya Kejeli na Matusi ndio imeshakomaa yaani Kambale hukunjwa akiwa mbichi turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili
Heri ya Mwaka Mpya!
Chadema wakati wanamtukana Lowassa Kabla Mnyasa mwenzako Mbowe hajabadilisha Gia angani ulikuwa bado uko Malawi?Wakati wanaccm wakimkebehi Lowassa kwa kashfa mbofumbofu za maradhi ulikuwa haujazaliwa?