Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, naona kama umeandika tungo tata! Anayedharauliwa hapa ni nani? Mwananchi au kiongozi?Dharau kubwa kwa viongozi wetu wa juu kwa wananchi ni kutokana na vitu hivi
1. Uongo kwa viongozi wa juu kabisa
2. Kuiba kura
3. Rushwa
Huwezi kuheshimika kama hayo matatu huyashughulikii
Mkuu, naona kama umeandika tungo tata! Anayedharauliwa hapa ni nani? Mwananchi au kiongozi?
POLIS na vyombo vyote vya usalama wa WATAWALA vitakulazimisha uwa heshimu hata kama hutaki.Tukiacha uchawa nani mwenye akili yake atawaheshimu viongozi fake?
Je, viongozi wanawaheshimu wananchi?Tukiacha uchawa nani mwenye akili yake atawaheshimu viongozi fake?
Kama Huyu firigisiDharau kubwa kwa viongozi wetu wa juu kwa wananchi ni kutokana na vitu hivi
1. Uongo kwa viongozi wa juu kabisa
2. Kuiba kura
3. Rushwa
Huwezi kuheshimika kama hayo matatu huyashughulikii
Hawa ndiyo wasomi wetu. Tusishangae hata barabara zinajengwa na WachinaKama Huyu firigisiView attachment 3177752
HahahaMkuu, naona kama umeandika tungo tata! Anayedharauliwa hapa ni nani? Mwananchi au kiongozi?
1. Katiba mbovuDharau kubwa kwa viongozi wetu wa juu kwa wananchi ni kutokana na vitu hivi
1. Uongo kwa viongozi wa juu kabisa
2. Kuiba kura
3. Rushwa
Huwezi kuheshimika kama hayo matatu huyashughulikii