Dharau, kuto kulala nyumbani na kukuta meseji za mapenzi kwa mkeo kunastahili adhabu gani?

Dharau, kuto kulala nyumbani na kukuta meseji za mapenzi kwa mkeo kunastahili adhabu gani?

Nakutumia namba ya uchebe umpigie upige nae story atakupa majibu yote..
 
Inategemea na hadh yako wew kama mwanaume..je

Ni ki ben 10
Marioo
Baba mwenye pesa zako
 
ni KIPIGO TU wala hakuna adhabu mbadala ndugu. Mtu jeuri atakuharibia familia, atakuweka kwenye msongo wa mawazo...anastahili KIPIGO CHA NGUVU..Hata akikaa ndani mwezi akiuguzwa ni SAHIHI labda akipona atajitafakari maisha aliyoyachagua. UCHEBE NAMKUBALI ..NI MWANAUME HODARI upande huo
 
Kosa ni lako, umeshindwa kuwa mwanaume ndani ya nyumba yako, hivi kuna mwanamke ana uthubutu wa kulala nje ya nyumba yake?
Wadau hebu tujuzane kidogo adhabu zinazoendana na situation pale mke wako anapokudharau, Halali nyumbani na akirudi hataki kuuliza maswali na kukuta meseji anachati na wanaume wengine na hataki umuingilie.

Tuachane kidogo na ulimwengu wa wazungu maana wao sio mfano wa kuigwa wanaruhusu hata wanaume kwa wanaume waoane.

Kiafrika zaidi hizi ishu tunasolve vipi?
 
Anakula vitasa, magumi , mixer miteke au ikibidi unatengua kiuno kile ili atulize matako Kwenye wheelchair , hapo hataweza kwenda nje tena hata akiwashwa

Mngoni na mmatengo ukipiga ni sawa na bure piga mashine kwa kipindi fulani hadi saturation then piga chini, unampiga na akiwa na jeraha anaenda kutoa papuchi na kwa zaidi anajitongozesha anaingia phone book yake anaanza yake
 
ni talaka unatoa hadi makaburi ya kwao
 
Kama halali nyumbani, wewe tafuta mwenzake ulale nae na ujitahidi akirudi amkute huyo uliyelala naye.

Nb;- Ili ngoma iwe droo vizuri usitake akuulize maswali.
Hapo sasa na wewe utakuwa huna tofauti na huyo mwenzako, Kiufupi utakua ni utoto.
 
Back
Top Bottom