Dharau, kuto kulala nyumbani na kukuta meseji za mapenzi kwa mkeo kunastahili adhabu gani?

Naona unataka tukusaidie kuvunja ndoa yako.
 
Mngoni na mmatengo ukipiga ni sawa na bure piga mashine kwa kipindi fulani hadi saturation then piga chini, unampiga na akiwa na jeraha anaenda kutoa papuchi na kwa zaidi anajitongozesha anaingia phone book yake anaanza yake

Dah yani hao ni taabu tupu
 
Kama unahisi siwezi kuoffer unavyotaka, unarudi kutafuta nini!? Alafu ukuaga?
Hatulali na deni chief
 
Mkuu Kama halali nyumbani umejiuliza analala wap!??....au anaingia kazini usiku!??....Kama yote sio majibu jua Kuna anayerina asali asiyoichongea mzinga, maana ata ww umeziona text za mwenzio.

Usisubiri picha ya pamoja mkuu Cha kufanya chukua mzinga peleka kwa seremala mwambie ulivyouchonga uliacha nyufa, Sasa asali inavuja na Kuna watu wanakinga na kuiramba, nikifika mie naambulia masega ama nisikute kitu kabisa.

Hivyo mzinga wako utengeneze upya ukauzie mwingine atakaye, mie naona hautanipa faida zaidi ya hasara. "Mwenye sikio na asikie"

Kuupiga mzinga unaovuja Ni kuongezea nyufa kua kubwa badala ya kuvuja itakua kumwagika kwa asali, hasara kwa Nani!??? "Ni kwako unayetegemea kuja kuirina asali hiyo"

Peleka kwao huyo mtu usisubiri aibu ikufike mkuu utalea watu wasio damu yako!!
 
Yaani upigwe hayo matukio na bado unajiita mwanaume[emoji134][emoji134][emoji134]
 
hivi unakuwa ni mwanaume wa aina gani mpaka mkeo anapata ujasiri wa kulala nje ya nyumba yake?
 
Mvizie amelala usiku then mshitue na Ngumi by Uchebe
Ila dah huyo Bibie kakuona boya sana pengine status yake iko juu kuliko yako tukisema oa mwanamke unae mudu hamuelewi, ungekuwa unajielewa hata asingethubutu kuwaza kulala nje unless uwe safari na usijue
 
Talaka tu hakuna ndoa hapo
 
Hiii ni uchebee kabisaa naona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…