Mtora
Member
- Jan 10, 2018
- 14
- 10
Tatizo la wabungo hili
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa mwezi.
hajuai kama ajila ni kama utumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa mwezi.
hajuai kama ajila ni kama utumwa
Sent using Jamii Forums mobile app