Tetesi: Dharau na Hujuma Kubwa: Nchi ya china inatoa msaada wa pombe kwa waadhiriwa wa njaa kenya😁😁😁😁

Tetesi: Dharau na Hujuma Kubwa: Nchi ya china inatoa msaada wa pombe kwa waadhiriwa wa njaa kenya😁😁😁😁

Are you noticing that these cartoons are fans of our TV channels? Infact nimeangalia that news item on citizen TV then something told me, check on JF..
Ni mkenya mwenzenu anayewa criticize hadi mnahisi si mkenya, ndio amepost hii news.
Regardless of who posted though, regardless they watch kenyan news, hiyo ni aibu mazee.
Inakaa ni aibu sana joh, ona wanavohepa na hizo beer cans joh, huwezi dhani wanastarve, ona wanavyopigania msosi joh, ni aibu, sasa a mixture of these vimbwanga na programs zenu nzuri ndio maana unakuta wapo watu wa tz wanadere matv yenyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom