Dharau ya CAF kwa Yanga walikuwa Pot 5

Dharau ya CAF kwa Yanga walikuwa Pot 5

Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha
wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki

View attachment 1891210
Utopolo hutawasikia hapa watajifanya hawajaiona hii [emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.

Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki

Nafikiri taratibu tutaanza kuheshimiana ngoja ifike Tarehe 25/9 .Itajulikana tu ni suala la Muda
 
Nafikiri taratibu tutaanza kuheshimiana ngoja ifike Tarehe 25/9 .Itajulikana tu ni suala la Muda
Hao wako msibani kwa kuondokewa na wakina Mikisone....

We waache kama walivyo.

Usije sababisha Homicide.
 
Mnajitekenya wenyewe na kujitia vidole wenyewe na Kujichekesha juu
 
NDICHO MLICHOBAKISHA HICHO KUSHINDANA NA SIMBA ikifika tarehe 25 mtakuwa mshatolewa na wanigeria
Ndio shida yao kutwa kujilinganisha na Simba wakati sisi tunawaza kuomba hata mechi ya kirafika na Madrid
 
Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.

Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki

Hakuna mtoto mnafki kama huyo priva bora ata kitenge anaonesha rangi zake halisi...
 
Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.

Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki

Jiandae kuja uwanjani na kujinyea manake Mnigeria anakula kipigo Cha mbwa mwizi kwa Mkapa
 
Hautasikia hiii ishu kwenye redio za wachambuzi TAKATAKA bahasha za khaki zimewaminya midomo kutwa wanashangilia chama kuondoka..KARIBUNI SANA RIVERS UTD, twendeni kwenye page zao kujiunga na kuwapa maujanja na updates za utopolo fc
Dah!...Mkuu Yanga,Simba,Azam na Biashara wote ni wawakilishi wa nchi hivyo tuwaunge mkono kweny hii michuano.

Utani na uhasama wetu ubakie humu humu ndani tu.
 
Back
Top Bottom