Utopolo hutawasikia hapa watajifanya hawajaiona hii [emoji848][emoji848][emoji848]Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha
wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki
View attachment 1891210
Hawa CAF watakuwa wanatuhujumu!Huko CAF wamejaa Simba watupu itabidi tukawashtaki CAS.
Nafikiri taratibu tutaanza kuheshimiana ngoja ifike Tarehe 25/9 .Itajulikana tu ni suala la MudaYes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.
Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki
😂 😂 😂Hii ni ishara ya matatizo ya akili.
Kapimwe jamaa..
Hao wako msibani kwa kuondokewa na wakina Mikisone....Nafikiri taratibu tutaanza kuheshimiana ngoja ifike Tarehe 25/9 .Itajulikana tu ni suala la Muda
NDICHO MLICHOBAKISHA HICHO KUSHINDANA NA SIMBA ikifika tarehe 25 mtakuwa mshatolewa na wanigeriaNafikiri taratibu tutaanza kuheshimiana ngoja ifike Tarehe 25/9 .Itajulikana tu ni suala la Muda
Njama za tff hizi sisi Yanga hatukubaliHuko CAF wamejaa Simba watupu itabidi tukawashtaki CAS.
Hata kungekuwa na mapot kumi utopolo wangekuwa pot no kumi. Katimu fulani kadogo Sana.Ni doubt Uto wamewekwa wanapostahili
Ndio shida yao kutwa kujilinganisha na Simba wakati sisi tunawaza kuomba hata mechi ya kirafika na MadridNDICHO MLICHOBAKISHA HICHO KUSHINDANA NA SIMBA ikifika tarehe 25 mtakuwa mshatolewa na wanigeria
Hii itakuwa Madrid ya Magurumbasi.Ndio shida yao kutwa kujilinganisha na Simba wakati sisi tunawaza kuomba hata mechi ya kirafika na Madrid
Hakuna mtoto mnafki kama huyo priva bora ata kitenge anaonesha rangi zake halisi...Yes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.
Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki
Jiandae kuja uwanjani na kujinyea manake Mnigeria anakula kipigo Cha mbwa mwizi kwa MkapaYes I said it, lowest ranked clubs ndipo utapu tapu au utopolo fc wana po belong ,vilevile karibuni sana team ya Nigeria tutawapa ushirikiano wa kutosha.
Wachambuzi TAKATAKA kina Priva na kitenge watajifanya kama hawajaliona hili la utopolo kuwekwa kwenye kapu la team zenye viwango duni wakileta fyoko msomali na mwarabu hawatawapa tena bahasha za khaki
Dah!...Mkuu Yanga,Simba,Azam na Biashara wote ni wawakilishi wa nchi hivyo tuwaunge mkono kweny hii michuano.Hautasikia hiii ishu kwenye redio za wachambuzi TAKATAKA bahasha za khaki zimewaminya midomo kutwa wanashangilia chama kuondoka..KARIBUNI SANA RIVERS UTD, twendeni kwenye page zao kujiunga na kuwapa maujanja na updates za utopolo fc