Dharau za viongozi wetu

Dharau za viongozi wetu

Joined
Dec 18, 2011
Posts
20
Reaction score
2
wadau wa elimu kama wanafunzi wanaweza kujiuwa kwa sababu ya matokeo inakuwaje waziri na naibu waziri wa elimu wanakuwa na majibu ya dharau kwa watanzania kwamba hawatajiuzulu kamwe Raisi na mawaziri wake wanalipeleka wapi taifa ni wakati sasa wakuisemea nchi yetu kwa manufaa yetu na tanzania yetu ya baadae.
 
Back
Top Bottom