GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Kama kuna mtu anafahamu tatizo linaweza kuwa nini anijulishe. Toka Alhamisi naona mashine haisimami nilidhani labda ni reaction ya dawa lakini sijawahi pata reaction kama hiyo, ukichukilia mpaka nimetoka hospitali nilikiwa fresh na kuna match nilicheza.
Sasa sielewi maana Alhamisi mchana alikuja kunitembelea yule nesi kuona naendeleaje. Tukakaa kaa mpka jioni nikampeleka kazini nikarud. Ijumaa pia akaja toka asubuhi sikumfanya lolote na wakati alikuja kwa issue hiyo maana nilikuwa nmeshamweka sawa.
Kitu hakisimami kabisa. Ni kama nimepigwa ganzi, sijawahi patwa na hali hii toka nmezaliwa. Kama kuna mtu anafahamu sababu anambie maana inanipa mashaka sana, mimi hata nikiumwa huwa mashine jino moja tu inaitika lakini sasa hata isukumwe haiwaki kila namna huyu nesi amejaribu.
Sielewi imetokea tu ghafla nimeona humu kuna wajuzi wengi tusaidiane kwa maelezo tafadhali ili ikishindikana ndo niende hospitali na sikumbuki kama nimekula kitu cha mtu au kitu kibaya. Kiakili nipo fresh sina stress hata kidogo.
Nisaidieni ndugu zanguni.
Sasa sielewi maana Alhamisi mchana alikuja kunitembelea yule nesi kuona naendeleaje. Tukakaa kaa mpka jioni nikampeleka kazini nikarud. Ijumaa pia akaja toka asubuhi sikumfanya lolote na wakati alikuja kwa issue hiyo maana nilikuwa nmeshamweka sawa.
Kitu hakisimami kabisa. Ni kama nimepigwa ganzi, sijawahi patwa na hali hii toka nmezaliwa. Kama kuna mtu anafahamu sababu anambie maana inanipa mashaka sana, mimi hata nikiumwa huwa mashine jino moja tu inaitika lakini sasa hata isukumwe haiwaki kila namna huyu nesi amejaribu.
Sielewi imetokea tu ghafla nimeona humu kuna wajuzi wengi tusaidiane kwa maelezo tafadhali ili ikishindikana ndo niende hospitali na sikumbuki kama nimekula kitu cha mtu au kitu kibaya. Kiakili nipo fresh sina stress hata kidogo.
Nisaidieni ndugu zanguni.