King yedidiah
Member
- Apr 4, 2023
- 52
- 178
Wakuu ninakosa amani usiku huu nimeng'atwa na buibui mweusi eneo la shingoni nasikia maumivu kama yanavuta, nisaidieni wakuu picha ya buibui nimeipiga nifanyaje huduma ya kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu ninakosa amani usiku huu nimeng'atwa na buibui mweusi eneo la shingoni nasikia maumivu kama yanavuta, nisaidieni wakuu picha ya bui bui nimeipiga nifanyaje huduma ya kwanza
Si uende hospitali, ulipo hakuna hospitali? Masuala muhimu ya afya yako unauliza Jamii Forum kweli, mpaka upate jibu kama ni sumu itakuwa too late
Shukrani mkuu nimefika hospital hali ipo sawa nimepatiwa dawa za maumivu na dawa za anti inflammatory nipo sawa kwa sasaSi uende hospitali, ulipo hakuna hospitali? Masuala muhimu ya afya yako unauliza Jamii Forum kweli, mpaka upate jibu kama ni sumu itakuwa too late
Ila huo mkoa una wanaume waoga sana walahi..
Aise Nashukuru sana mkuu nimepewa anti pain na ant inflammatory nipo sawa kwa sasaPole, fika hospital, au tumia pain killers kama unahisi maumivu, lakini utakaa sawa tu.
Kwa sasa nimejifunza kukagua kitanda kabla ya kulala... Aliye kanyaga nyoka ujani humkimbizaAngekung'ata pumbu ungetukana matusi yote unayoyajua na usiyoyajua
Hakika ni mapenzi ya mwenyezi Mungu amenitaka niishi niendelee kula mema ya nchi mkuuBwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
Nafikiri ni wakati sahii wa kumuandaa producer kwa ajiri ya kutoa movie ya spider 4 ikichezwa live bila edition mkuu😂Soon utageuka spiderman mkuu.
Kuna buibui ambao wana sumua hatari lakini si hawa tunaoishi nao.majumbani na sidhani kama wanapatikana tz
Nilikuwa natafuta hii comment 😂😂😂🙌Soon utageuka spiderman mkuu.
Shukrani mkuu,, ukiona mwenzio ananyolewa basi utie maji, maana tunajisahau sana kukagua vitamda vyetu hasa mashuka hawa viumbe wanaweza kututembeleaPole
Ulipata tiba ganiKwa sasa nimejifunza kukagua kitanda kabla ya kulala... Aliye kanyaga nyoka ujani humkimbiza
Du mambo ya kutangulia mbele ya haki hayoIna lilahi wa ina lilahi raijun