Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuu...ngoja waje wastaafu wenyewe maana kuna siasa humo pia utasikia kaupiga mwingi sana mi 5 tena.....base wastaafu ukoje ?? Hawa woote au wale hazina ??Hicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!
Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000
Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini
woteDuuuu...ngoja waje wastaafu wenyewe maana kuna siasa humo pia utasikia kaupiga mwingi sana mi 5 tena.....base wastaafu ukoje ?? Hawa woote au wale hazina ??
Kuongeza kipato kwa kutegemea serikali ni uzwa uzwaHicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!
Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000
Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini
Wote kina nani hao?wote
Kwa hiyo ma Rais wastaafu, Spika, Cdf na wengineo 'top brass' walivyoongezewa kipato na Serikali, ni mazwazwa pia?Kuongeza kipato kwa kutegemea serikali ni uzwa uzwa
Subiri tuHicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!
Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000
Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini
😳 MakubwaWacha wanyooshwe I Mkiwa kazini mnashadadia Sisiemu na minguo y kijani mara chama cha walimu tunamlipia FOMU mitano tena.....hayo ndo MALIIPO
Hadi hapo mafuvu yatakapo rudishiwa akiliCCM tumeitaka wenyeweee
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ndiyo maana tunaiondoa ccM mdarakaniWakati huohuo wastaafu kama rais,waziri mkuu,makamu,wakuu wa vyombo,na baadhi ya wakuu wa taasisi wanapata mishahara ya 80%ya aliyepo madarakani pamoja na wake zao wakati huo huo Kila kitu wanahudumiwa kama matibabu,magari ya kifahari,Nyumba,Kila kitu wanapewa bure na hawalipi Kodi hata shilingi kumi.hii Nchi shida sana
but kuna reasonable expectation from "employer"Kuongeza kipato kwa kutegemea serikali ni uzwa uzwa
Ulitaka waongeze ngapi?Hicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!
Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000
Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini
Baada ya Mbowe kuukosa Uenyekiti, sasa unaigeukia Serikali! Wazungu wananena, once a whore always......Hicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!
Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000
Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini