Dhihaka: Serikali yatoa Nyongeza ya 2% ya pensheni kwa wastaafu

Dhihaka: Serikali yatoa Nyongeza ya 2% ya pensheni kwa wastaafu

Hicho ndicho kiwango cha nyongeza ya pensheni ya wastaafu toka serikalini!

Kama mtu anapata say 100,000 basi nyongeza ni shilingi 2,000
1,000,000 nyongeza ni 20,000

Hayo ndiyo matusi kutoka serikalini
Irudishe Mkuu Haina haja ya matusi
 
Wakati huohuo wastaafu kama rais,waziri mkuu,makamu,wakuu wa vyombo,na baadhi ya wakuu wa taasisi wanapata mishahara ya 80%ya aliyepo madarakani pamoja na wake zao wakati huo huo Kila kitu wanahudumiwa kama matibabu,magari ya kifahari,Nyumba,Kila kitu wanapewa bure na hawalipi Kodi hata shilingi kumi.hii Nchi shida sana
Na kinga ya kutoshitakiwa juu
 
Back
Top Bottom