hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,544
mkuu kwanza habari za siku nyingi nimemis sana makala zako zile za kipindi kile zilikuwa hot kumeza hasa katika field ya afya dhidi ya fastjet. Back to topic jamaa may be kwa bongo ila dunia ya kwanza jamaa wanaaminika sana.
Salaam mkuu, ahsante..ndio tunarudi taratibu!
Kiukweli DHL imekuwa reliable duniani(ingawa mapungufu hayakosekani kwa kitu chochote), lakini hivi karibuni wamekuwa wakifanya uzembe na kupuuza huduma kwa wateja kibaya zaidi ni kuwa na majibu ya dharau wakati bado hawajafanya hata majukumu yao! Na hapa siongelei Zonal/Upcountry branches ninaongelea Headquarters hapa hapa Dar es Salaam, ninai mani watasikia.
Mkuu nimekupata na ujumbe umewafikia mara nyingi hawa jamaa wanaperfom better sana kwa nchi zilizoendelea ila kwa tz sijui kwanini hawavalue customers wao. Ila ujumbe umefika.
Mambo yote ni EMS.DHL mpaka wa scan mizigo.
mkuu kwa kweli nimejuta bora sehemu yoyote ile!Kuliko hawa jamaa.