lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Sio Siri VIONGOZi na wanachama wa CCM mahala popote walipo huwa Kuna kitu wanajivuni kabla ya Uchaguzi. Hata kuwe na dalili za Uchaguzi kuwa mgumu namna gani CCM huwa hawana hofu. Na ndio maana mwaka huu wamejitokeza watia nia wengi sana kwa upande wa CCM kuliko chama chochote.
Kitu pekee inachojivunia CCM Ni dhuruma ya kura. Kwa kutumia nguvu za vyombo vya dola CCM huweza kudhulumu ushindi dhidi ya vyama vingine. Kila ukiongea, ama ukishindana kwa hoja na mwanaCCM juu ya Uchaguzi huu, ukimuambia muitikio wa watu kwenye mikutano ya Lissu mwanaCCM atakuambia yafuatayo:
Lissu hapati hata asilimia kumi. J, amejuaje wakati hata kura hazijapigwa? Na kura ni siri ya mtu?
Wengine wanakuambia, atuwezi kukabidhi nchi kwa wapinzani. Sasa najiuliza kama wananchi wakiamua nyinyi CCM ni nani hata kutokabidhi nchi wakati wananchi kwa uwingi wao wamemchagua?
Wengine hufikia hata kusema wapinzani hawatapata hata jimbo moja la ubunge. WanaCCM husema mengi. Lakini yote hayo ni kwa sababu wanategemea kuiba ushindi dhidi ya Upinzani.
Kitu pekee wanachotegemea ni Dhuluma. WanaCCM mkibisha kwa hili nawakumbusha Uchaguzi uliopita wa Serikali za mitaa mlidhulumu ushindi. Na safari hii hamna mnachokitegemea zaidi ya dhuluma, wizi na kupora ushindi.
Kwa mapokezi anayoyapata Lissu na kwa hoja anazozitoa Lissu ushindi wa kihalali kwenu hakuna kabisa. Mpaka hapo anayeongea ni Lissu pekee. Wapinzani wengine wakianza kuongea hamtapata la kuwajibu.
Kitu pekee inachojivunia CCM Ni dhuruma ya kura. Kwa kutumia nguvu za vyombo vya dola CCM huweza kudhulumu ushindi dhidi ya vyama vingine. Kila ukiongea, ama ukishindana kwa hoja na mwanaCCM juu ya Uchaguzi huu, ukimuambia muitikio wa watu kwenye mikutano ya Lissu mwanaCCM atakuambia yafuatayo:
Lissu hapati hata asilimia kumi. J, amejuaje wakati hata kura hazijapigwa? Na kura ni siri ya mtu?
Wengine wanakuambia, atuwezi kukabidhi nchi kwa wapinzani. Sasa najiuliza kama wananchi wakiamua nyinyi CCM ni nani hata kutokabidhi nchi wakati wananchi kwa uwingi wao wamemchagua?
Wengine hufikia hata kusema wapinzani hawatapata hata jimbo moja la ubunge. WanaCCM husema mengi. Lakini yote hayo ni kwa sababu wanategemea kuiba ushindi dhidi ya Upinzani.
Kitu pekee wanachotegemea ni Dhuluma. WanaCCM mkibisha kwa hili nawakumbusha Uchaguzi uliopita wa Serikali za mitaa mlidhulumu ushindi. Na safari hii hamna mnachokitegemea zaidi ya dhuluma, wizi na kupora ushindi.
Kwa mapokezi anayoyapata Lissu na kwa hoja anazozitoa Lissu ushindi wa kihalali kwenu hakuna kabisa. Mpaka hapo anayeongea ni Lissu pekee. Wapinzani wengine wakianza kuongea hamtapata la kuwajibu.