Dhuluma kubwa katika Tuzo za TFF, nani kutoroga?

Dhuluma kubwa katika Tuzo za TFF, nani kutoroga?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Hii nchi ngumu sana kubadilika, hata aje nani.

Tuzo ya Mchezaji Bora kupewa John Bocco ni dhulma kwa Chota Chama na wapenda soka.

Tuzo ya Mchezaji Bora wa FA kupewa Feisal ni dhulma kwa Konde Boy Luiz na wapenda soka wote.

Tuzo ya Goli bora kupewa yule mchezaji (simjui jina lake) ni dhulma dhidi ya BM3 Benard Morrison na wapenda soka wote.

Kwa akili zao fupi walipanga kuficha tuzo nyingi kutochukuliwa na wageni. Wakasahau kama mpira unachezwa hadharani.

Kama matukio ya hadharani unadanganya hivi vipi tukiwapa mtoe tuzo kwa mambo yanayofanyika chumbani?

Hovyo kabisa
 
Ila mkuu Morrison alipohojiwa kwamba anajisikiaje kuhusu goli lake kutokuwa goli bora akajibu kwamba lile goli la Yule jamaa ni nzuri kwasababu alipewa pass na kuunganisha huku hajageuka vizuri kuangalia golini tofauti na wengine ambao wako kwenye move wanaangalia goli
 
Jamani utani mkubwa sana kwasababu chama na Luis, hawapo nchini wanyimwe tuzo ambazo wachezaji na washabiki wote wanaona wanastahili kabisa hii ni unfair kabisa hawa jamaa wamewaacha wachezaji wetu mbali sana tena sana. Just imagine performance ya feitoto aliyonayo kwa sasa akawa consistance na akakosa tuzo ya mchezaji bora mwishoni kwasababu tu kuna mchezaji ka perform vizuri mwishoni mwa ligi tu.
 
Ila mkuu Morrison alipohojiwa kwamba anajisikiaje kuhusu goli lake kutokuwa goli bora akajibu kwamba lile goli la Yule jamaa ni nzuri kwasababu alipewa pass na kuunganisha huku hajageuka vizuri kuangalia golini tofauti na wengine ambao wako kwenye move wanaangalia goli
kwani mimi ni Morrison?
 
Na hata wewe n mbinafsi
Kuna kitu hujakiongelea sababu kipo nje ya mapenzi yako na sio kama hukokumbuki au umekisahau.
Kua fair.
 
Na hata wewe n mbinafsi
Kuna kitu hujakiongelea sababu kipo nje ya mapenzi yako na sio kama hukokumbuki au umekisahau.
Kua fair.
Kipi? Simba kubeba mituzo mingi? Ukitaka nani sasa achukue? haaa haaaa timu inayoanzisha round ya 2 CAF sambamba na giants wengine 9,ulitaka ichukue tuzo 3? Timu inayouza mchezaji kwa dau la mabilioni ulitakaje? Timu inayobeba Utopolo na wenzie kwenda CAF ulitaka ipewe nini,kama sio mituzo.

Wewe mwenyewe umeona noma kutaja ☹☹☹
 
Ila mkuu Morrison alipohojiwa kwamba anajisikiaje kuhusu goli lake kutokuwa goli bora akajibu kwamba lile goli la Yule jamaa ni nzuri kwasababu alipewa pass na kuunganisha huku hajageuka vizuri kuangalia golini tofauti na wengine ambao wako kwenye move wanaangalia goli
Alisema ni zuri au ni zuri kuliko lake?
 
Alisema ni zuri au ni zuri kuliko lake?
Aliulizwa unajisikiaje upo kwenye category ya goli bora ila hukuchaguliwa ,ndo akaeleza magoli yote ni mazuri ila goli bora ni nzuri zaidi kwa mazingira shuti ilivyopigwa
 
Sasa kama hamjaridhika si muwatengenezee tuzo za kwenu halafu mkawape huko waliko! Kwani hizo tuzo zinatoka mbinguni?

Yaani Wabongo muda wote ni kulalamika tu! Tuzo zenyewe zimekaa ki mikia mikia tu, halafu mnakuja kutuchosha humu!
 
Mambo ya kubalansi ndio yanayo didimiza soka la tz

Na hii yote kwasababu tuna yanga iliyo mbovu, ishu ya feisal nasema hata yeye mwenyewe haamini
Ulianza vzr Mkuu,ila mwisho umeonyesha mapenzi.
Hili tatizo la umimi sio la Tff pekee watanzania wote, hakuna haja ya kuilaumu

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ulianza vzr Mkuu,ila mwisho umeonyesha mapenzi.
Hili tatizo la umimi sio la Tff pekee watanzania wote, hakuna haja ya kuilaumu

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani ni uongo kua yanga mbovu?

Kwasababu tuna takwimu ambayo inaonesha yanga ni ya saba kutoka mwishoni
 
Mkuu kwani ni uongo kua yanga mbovu?

Kwasababu tuna takwimu ambayo inaonesha yanga ni ya saba kutoka mwishoni
Uwongopi Mkuu yanga Mbovu,ila inakujaje ubovu Wa yanga na utoaji Wa tuzo?? Au unavyojua wewe utoaji Wa tuzo wanaangalia timu moja tu iliochukua ubingwa? Naona tuanzie hapo kwanza

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Uwongopi Mkuu yanga Mbovu,ila inakujaje ubovu Wa yanga na utoaji Wa tuzo?? Au unavyojua wewe utoaji Wa tuzo wanaangalia timu moja tu iliochukua ubingwa? Naona tuanzie hapo kwanza

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Timu iliyo bora siku zote ndio inayostahili kuwa na na wachezaji ambao wako front page kwenye hizo tuzo

Kumuacha mchezaji ambaye ame qualify na mwenye statistics nzuri na kumchukua mchezaji ambaye hakuwa na ubora kwenye hiyo season ni udidimizaji wa soka

Na ndio maana nasema, pengine feisal mwenyewe kawa shocked anaona kabisa kua ni namna gani hakustahili kwenye hizi tuzo ila ndio hivyo amejikuta yupo
 
Timu iliyo bora siku zote ndio inayostahili kuwa na na wachezaji ambao wako front page kwenye hizo tuzo

Kumuacha mchezaji ambaye ame qualify na mwenye statistics nzuri na kumchukua mchezaji ambaye hakuwa na ubora kwenye hiyo season ni udidimizaji wa soka

Na ndio maana nasema, pengine feisal mwenyewe kawa shocked anaona kabisa kua ni namna gani hakustahili kwenye hizi tuzo ila ndio hivyo amejikuta yupo
Takataka kabisaaa. Yaan kisa kuchukua ubingwa ndo ulitaka squad yote wachukue tuzo? Unaumwa eh?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom