Tanzania ya viwanda itabaki kwenye maandishi na majukwaa ya kisiasaDadake diamond esma wakati anahojiwa wakati wa shughuli ya arobaini ya zama alisema haoni tatizo lolote kuhusu mondi kuvaa kikuku
Haya sasa mnaotokwa na povu sawa, ila dada mtu keshabariki tiyari,,
Dadake diamond esma wakati anahojiwa wakati wa shughuli ya arobaini ya zama alisema haoni tatizo lolote kuhusu mondi kuvaa kikuku
Haya sasa mnaotokwa na povu sawa, ila dada mtu keshabariki tiyari,,
Dah aysee ila kuna watu wanamajibu....kwahiyo unataka kusemaje mkuu!?uislamu umekusaidia nini wewe?fanya kazi acha umbulula.
Kwa hiyo nabii alipaka wanja...ktk vyote ulivyo vitaja wanja pekee ndo sunna.ukisema sunna inamaana kile ambacho Nnabii wa Allah (s.a.w) alikifanya
Mboga tenaKikuku ni mboga
Ni ajira za watuWe nae umbea tu
Kwani wewe kutoa maoni yako hapa umewashwa nini tuliza kijambio chako chiniuislamu umekusaidia nini wewe?fanya kazi acha umbulula.
Sawa mkuuktk vyote ulivyo vitaja wanja pekee ndo sunna.ukisema sunna inamaana kile ambacho Nnabii wa Allah (s.a.w) alikifanya
Ndio hivyoKwa hiyo nabii alipaka wanja...
Mmh basi sasa
Ndio hivyo
nilikua nakuona kama mtu mwenye uelewa kumbe kichwa kimejaa sisimizi.Shame on youNabii wa Mungu
NB. Usinichukie hizo zote ni sunna za mtume S.W.A
- Alipaka wanja
- Shedo
- Hina
- Rangi ya kucha
- Kusuka
- Alikula kidogo
- Alikula chakula kilichomwagika chini
- Alitinda nyusi
- Alioa wake wengi
- Alioa mke mtoto
- N.k n.k
nilikua nakuona kama mtu mwenye uelewa kumbe kichwa kimejaa sisimizi.Shame on you