Diamond aanza kuvaa kikuku mguu wa kushoto

Kwanza hiyo kauli kuwa kupaka wanja na Rangi mdomoni ni sunna ameitolea wapi??


Upumbavu wake aiuhusishe na dini
 
Mbona kawaida tu kwa wanaume wa dar hujaona au kusikia ya ya moni na country boy....
 
Mkuu mbona wanitusi nimedanganya???
Nimeishi uislamu miaka 8 nimesoma madrasa na nimeishi Zanzibar sana. Najua nilichokiandika
Kwan kukaa Zanzibar ndo nn au kuwa muislamu kwa miaka 8 Taja vitabu vyenye kuthibitisha uyasemayo watu tujue ushahid uwe mezani! Mambo yawe hadharani ukwel ubainike!
 


Bi Sandra alimuharibu dogo kitambo.....cheki hapa alivyomvalisha shanga zake ili dogo akaopolewe na wauza maji mtaani
 
Nabii wa Mungu
  • Alipaka wanja
  • Shedo
  • Hina
  • Rangi ya kucha
  • Kusuka
  • Alikula kidogo
  • Alikula chakula kilichomwagika chini
  • Alitinda nyusi
  • Alioa wake wengi
  • Alioa mke mtoto
NB. Usinichukie hizo zote ni sunna za mtume S.W.A
  • N.k n.k


Mtume alikuwa mtu wa vituko sana na ndiyo maana siamini kama kweli alikuwa Mtume. Kwenye kitabu cha Haddith alinukuliwa akisema,....."akivaa nguo za mtoto Aisha ambaye alikuwa anambaka, eti ndipo anashukiwa na Mungu." Jamani, kuna ukweli hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…