Diamond achaguliwa kuwania tuzo za BET

Aiseeeee...Mungu Hamtupi Mja Wake....Jamani Asimwache Wema Lakini....huuuuuhuuuuhuuuu...
....Lets Vote Jamani Pia....

Dangote Oyeeeee!
 

Hongera zake, ila hii ndio tofauti ya Wabongo na sisi Wakenya. Jamaa hapa mnamshabikia ila hakuna anyetupatia link ya kumpatia kura kama sisi wana-EAC. Mnabaki tu ni kelele hapa JF. Habari hizi za Diamond ziko wapi maana mtoto wetu Lupita Nyong'o tayari kachaguliwa kushindana kwenye best actress 2014 BET Awards Nominations: Rihanna, Chris Brown & More - Full List - Hollywood Life

CC: Geza Ulole kadoda11 Askari Kanzu Kimweri Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Safari hii atavaa deraaa

Afu atapanda gharama sababu watu kama akina jigga bila milioni 400 haji kwenye show afu jamaa kafanikiwa mpaka kufika hatua ya kuingia nao ukumbi moja mwisho wa siku ushije shangaa na yeye anakwambia bila milioni 400 usimwite kwenye show si ulisikia hod alisema ukiongea naye chini ya milioni 45 kwa sasa unajisumbua so this time lazima dau lipande
 
tuzo za huku alivaa utumbo wa sket, tuzo za huko sijui atavaaje
 
Kiukweli kuhusu kuwa.black entertainment television BET award big up
Kwasababu naielewa USA compare other country
 
Jamani hongera diamond tutakupigia kura mwayego umejitahidiii
 
big up boy.......keep it up? you are approachin at the summit guy.
 
bet ni wazungu? kama hujui kitu bora kukausha tu, alafu izo ishu za maushirikina achana nazo kwani ni za watu wenye ubongo duni

Black entertainment tevelevision hahaha jamaa kila akiona kitu cha amerca anadhani cha wazungu lol! Umemuumbua.
 
bet ni wazungu? Kama hujui kitu bora kukausha tu, alafu izo ishu za maushirikina achana nazo kwani ni za watu wenye ubongo duni

nafahamu kwamba bet zilianzishwa kwa ajiri ya wanamzki weusi ..so unataka kuniambi walio nyuma yake,ikiwemo waandaaji e.t.c,hakuna wazungu?na hizi tuzo ni za marekani??we ndio kujifanya mjuaji kwenye hakuna
 
Simpatii picha mama ubaya atakavyojishaua red carpet ya BET na akina Beyonce , mwaka huu ma haters tutajibebaa

Hahaaaaa team penny lol! Vipi kule madame ndo atatoa speech haha ngoja niende insta kwanza maana naona team wema leo wamepata cha kuongea lol.
 
kuwa Nomenees inatosha kuonyesha kazi yake imekubalika...Hongera Platnumz hongera Tz

Kwanini turidhike hapo tu kwenye nominees, yani hapo tumeshakubali kushindwa.. Why tusione atashinda.. Hapo watu wameshabweteka badala ya kupiga kura watasema hata kushiriki kwake tu inatosha and that will be the end of story.
 
Baada ya kunyakua tuzo
7 za KTMA 2014, na
kuwa nominated katika
tuzo za MTV ‘MAMA’
nchini Afrika Kusini,
sasa Diamond Platnumz ametajwa kuwania
tuzo kubwa zaidi za
kimataifa BET Awards
za nchini Marekani.

Hit single yake ya
‘Number 1’ ndio
iliyompa tiketi Diamond
kuwa nominated katika
kipengele cha ‘Best
International Act: Africa’, ambapo
anachuana na mastaa
wengine wa Africa
ambao ni Davido
(Nigeria), Mafikizolo
(Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), na Tiwa Savage
(Nigeria). Diamond ndiye msanii
pekee wa Afrika
mashariki katika tuzo
hizo.

Hivi ndivyo
ilivyoandikwa katika
mtandao wa
www.bet.com BEST INTERNATIONAL
ACT: AFRICA “NUMBER
ONE” (TANZANIA)
TANZANIAN STAR
DIAMOND PLATNUMZ
BECAME A GLOBAL FORCE WITH SUCCESS OF HIS HIT
“NUMBER ONE” AND
THAT WAVE MAY
CONTINUE WITH A WIN
FOR BEST
INTERNATIONAL ACT: AFRICA.

Sherehe za ugawaji wa
tuzo hizo zitafanyika
June 29 huko Los
Angeles, Marekani

Tuzo za BET huandaliwa
na kituo cha TV cha
Black Entertainment
Television, na
zilianzishwa mwaka
2001 kusheherekea mafanikio ya kazi za
Wamarekani weusi
katika sanaa ya muziki,
uigizaji, michezo na
maeneo mengine ya
burudani. Hongera sana Diamond
Platnumz, endelea
kuipeperusha vizuri
bendera ya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…