Diamond achaguliwa kuwania tuzo za BET

Diamond achaguliwa kuwania tuzo za BET

Ilitakiwa timu domo itoe taarifa mapema kwamba zoezi la upigaji kura bado...huyu dogo inabidi afanye mabadiliko ya management yake

Huyu chogo anaetuletea habari humu yupo kimya utadhani tutaota?
 
ImageUploadedByJamiiForums1400258084.451067.jpg
 
Hongera zake, ila hii ndio tofauti ya Wabongo na sisi Wakenya. Jamaa hapa mnamshabikia ila hakuna anyetupatia link ya kumpatia kura kama sisi wana-EAC. Mnabaki tu ni kelele hapa JF. Habari hizi za Diamond ziko wapi maana mtoto wetu Lupita Nyong'o tayari kachaguliwa kushindana kwenye best actress 2014 BET Awards Nominations: Rihanna, Chris Brown & More — Full List - Hollywood Life

CC: Geza Ulole kadoda11 Askari Kanzu Kimweri Bulldog

habari za diamond na tuzo za BET ziko all over social media ie fb and twitter....na tuko pamoja nae ktk hili.
 
Last edited by a moderator:
kipengele hicho haitaji kupigiwa kura.....ni jinsi atakavokua anatajwa tajwa kwenye mitandao ndo kutampa ushindi !! Na markini my words ... Diamond anachukua hiyo tunzo!!!
 
Back
Top Bottom