Diamond adaiwa kutelekeza watoto wake

Aliyepunguza uchangamfu ni DP that's obvious atleast saiv ana new girl ndio kidogo amekua msafi. [emoji23][emoji23][emoji23] alikua mchafuuu hata nuru ilipotea.

Unakosaje wifi jameni.
 
Hata yeye DP hayuko vizuri pamoja na kuwa na huyo Mkenya wake. Mawifi siku hizi wanaumiza kichwa inabidi uwe muangalifu sana vinginevyo utalizwa kilio cha mbwa mdomo juu.

Aliyepunguza uchangamfu ni DP that's obvious atleast saiv ana new girl ndio kidogo amekua msafi. [emoji23][emoji23][emoji23] alikua mchafuuu hata nuru ilipotea.

Unakosaje wifi jameni.
 
Sikupenda waachane especially after creating 2 beautiful kids ila DP alizidi kuto@ba to$$ba hovyo tena bila kificho wala kuvaa ndom.

Aliyepunguza uchangamfu ni DP that's obvious atleast saiv ana new girl ndio kidogo amekua msafi. [emoji23][emoji23][emoji23] alikua mchafuuu hata nuru ilipotea.

Unakosaje wifi jameni.
 
Itakuwa ni makosa makubwa sana. Uwezo wa kuwatumia watoto hata $5,000 kwa mwezi anao sana tu.
Pesa sio kila kitu. Angekua anajigawa kila baada ya mwezi anaenda kumuona wa hamisa then anaenda bondeni. Yeye si tajiri hawez kosa nauli.
Watoto wadogo kutambulishwa baba mwingine ni rahis sana na wao kuadapt kwa baba mpya
 
Ni kweli kabisa pesa pekee yake haitoshi inabidi aweze kuwa nao kila mara ili kujenga bond na wanawe wamfahamu kama Baba yao na si kumuona kwenye mitandao, TV na utube tu vinginevyo nao wanaweza kumsusa kama anavyomsusa dingi wake.

Pesa sio kila kitu. Angekua anajigawa kila baada ya mwezi anaenda kumuona wa hamisa then anaenda bondeni. Yeye si tajiri hawez kosa nauli.
Watoto wadogo kutambulishwa baba mwingine ni rahis sana na wao kuadapt kwa baba mpya
 
Ni kweli kabisa pesa pekee yake haitoshi inabidi aweze kuwa nao kila mara ili kujenga bond na wanawe wamfahamu kama Baba yao na si kumuona kwenye mitandao, TV na utube tu vinginevyo nao wanaweza kumsusa kama anavyomsusa dingi wake.
Ndio hivyo ajitathimini. Karma has no menu.
 
Write your reply...watu wanadhani malezi ya mtoto ni pesa tuu. mtoto wa miaka sita sijui mitano anajuaje kama baba katuma pesa??
cha msingi ni uwepo wako kwa wanao ili kuondoa sumu ambayo mama atampandikiza mtoto. sababu uwepo wako ni malezi tosha mfano kumpeleka mtoto shuleni na kumrudisha, kucheza nae na mengine mengi yatamfanya mtoto akukumbuke milele na kukupenda hata kama umeachana na mama yake. kuliko kutuma tuu pesa halafu mtoto anakaa na mama tuu wakati wenzake anawaona wanacheza na Baba zao unafikiri nini kitatokea kwenye akili ya huyo mtoto? kama sio kuharibika kisaikolojia na kumchukia baba??
 
Uko sahihi kabisa aiseee watu humu hawaelewi kipindi Cha makuzi hasi chini ya miaka 7 mtoto Kama anakaa muda mrefu Bila kumuona baba Ni rahisi kupandikizwa chuki maana watoto huwa wanauliza Sana maswali mama namtaka baba? Mama baba Yuko wapi? Mama baba mbana haji shule siku ya wazazi na majibu ya kina mama ndo mtoto anaanza kumchukia baba mtoto hawezi uliza masuala ya pesa.
Mtoto akija kuwa mkubwa na kujitambua akiangalia matukio yake yote muhimu ya utotoni baba haonekani kwenye picha akilunganishwa na alichoandika na mama anajua kweli dingi aliwapotezea.
Matokeo yake yanajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile laana ya baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…