Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.

Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.

Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.

Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.

Screenshot_20210501-182349_Instagram.jpg

Screenshot_20210501-181208_Instagram.jpg


Screenshot_20210501-181220_Instagram.jpg
 
Kwa level aliofikia nyumba ni kitu kidogo sana.. yaani umiliki media inayosikilizwa na inayotizamwa kama wasafi media halafu ushindwe jenga majumba
Achana na media na mengine, Diamond kwenye mauzo ya muziki digital kwa mwaka haipungui million 700 na hapo anatoa nyimbo mbili kwa mwaka. Sasa ngoja aje na album nafikiri ataweka rekodi mpya east Africa ya mauzo.
 
Back
Top Bottom