Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Anasema ameshakunya.Kwan H BABA anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema ameshakunya.Kwan H BABA anasemaje
Amekunya nnAnasema ameshakunya.
H baba anaumia boss wake kaenda naija kafikia kwa skales wakati mwenzie kafikia kwake.Kwan H BABA anasemaje
🤣🤣🤣🤣tatzo hloH baba anaumia boss wake kaenda naija kafikia kwa skales wakati mwenzie kafikia kwake.
Majina uumba kumbuka wanamuita dangoteAise kumbe ni Bilionea? Ana nyumba kama mia kenda flani hivi amazing.
anagapi zama keya maaja
sinza pazuri umemuelewa huyo jamaa kweli?[emoji16][emoji16]Anazo 126 jumla.
Mavi ya moto.Amekunya nn
mlevi huyo.sinza pazuri umemuelewa huyo jamaa kweli?[emoji16][emoji16]
umetazama wapi?
Niwekee source yako naona yangu ipo wrongUkiona list hayupo burnaboy, Diamond na Gims basi ujue ni fake. Hapo labda youssour nduu, david adeleke na wizkidayo ndio utawaweka na Diamond kwa sasa. alafu akon sio mwafrica.
Akon ni muafrika mkuu. Ni msenegal aliyezaliwa na kukulia marekani.Ukiona list hayupo burnaboy, Diamond na Gims basi ujue ni fake. Hapo labda youssour nduu, david adeleke na wizkidayo ndio utawaweka na Diamond kwa sasa. alafu akon sio mwafrica.
Akon ni muafrika mkuu. Ni msenegal aliyezaliwa na kukulia marekani.
Pia tofautisha kati ya utajiri na umaarufu! Siyo kila tajiri ni maarufu na siyo kila maarufu ni tajiri!
Hata ukiwaambia kua Mo ana hela kumzidi Messi au CR7 pia hawawezi kuamini.Watu wengi hua hawajui kwamba wasanii wengi hua ni maarufu ila hawana hela. Kuna mtu ukimuambia kua Jay Z wa marekani hamfikii Mo Dewji wa bongo kwa hela hawezi kuamini!!
akili ndogo kama hizi usishangae kukwambia diamond anahela kulilo Manji.Katika wasanii wenye pesa Africa...Diamond yupo top 5 kuna wanaija wachache ndio wanamsumbua.
Hata ukiwaambia kua Mo ana hela kumzidi Messi au CR7 pia hawawezi kuamini.
Kuwa na share 45% doesn't mean it will give u a profit of that %, in any company what you'd know is that, we're just dealing with dividends and not Net Profit. And for WCB Company case he only just enjoy a salary as the company oparates in Losses. Unapojaribu kuchambua vitu muhimu basi weka na sababu zenye maana ili tutofautishe kati ya Ushabiki na facts. Anaweza kuwa na hela nyingi sana ndio ila sio kwa kiwango ambacho jamii kubwa mnamdhania. Wasanii wa Bongo kwenye pesa wako overratted sana.Wasafi media. Anamiliki share 45%... yaani kila faida ya milion 100 inayoingia wasafi media.. yeye anapata milioni 45
We unamiliki vyumba vingap hapa town?Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Jana tuliambiwa habari za kifo cha Haroun Zakaria (sina hakika kama ni habari za kweli)! Zakaria kama alihama nyumba za NHC basi ni miaka ya hivi karibuni tu!!Yawe Yawe
Konde boy
Sasa kama anazo nyumba why anapangisha au nyumba zake hazina Tbs
Wewe ndo finance manager au accountant wa Wasafi Media hadi ufahamu wana-operate in losses, au?! Kwamba, anachoweza kupata is just dividend basi inaonesha wazi ama huna uelewa wa haya mambo, au umeamua tu kujitoa ufahamu!Kuwa na share 45% doesn't mean it will give u a profit of that %, in any company what you'd know is that, we're just dealing with dividends and not Net Profit. And for WCB Company case he only just enjoy a salary as the company oparates in Losses. Unapojaribu kuchambua vitu muhimu basi weka na sababu zenye maana ili tutofautishe kati ya Ushabiki na facts. Anaweza kuwa na hela nyingi sana ndio ila sio kwa kiwango ambacho jamii kubwa mnamdhania. Wasanii wa Bongo kwenye pesa wako overratted sana.