The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Na wewe jitahidi ili mwanao aje kua msimamizi wa mali zako kama ilivyo kwa Mo.Acheni uongo CR7 ana mpunga, huyo Mo ni msimamizi wa mali za mzee Gullam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe jitahidi ili mwanao aje kua msimamizi wa mali zako kama ilivyo kwa Mo.Acheni uongo CR7 ana mpunga, huyo Mo ni msimamizi wa mali za mzee Gullam.
Mbishi sana wewe jamaa,nimekwambia uniwekee source top 5 ya diamond utajiri wa Africa naona umeingia mitiniAcheni uongo CR7 ana mpunga, huyo Mo ni msimamizi wa mali za mzee Gullam.
Akiwa navyo wewe unapata nini?Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Hizi ni jaziba za umaskini, siku ukiwa na hela hautoingia mitandaoni kutukana ili upate nafuu ya msoto wa maisha. Nakuelewa sana mwanangu.Akiwa navyo wewe unapata nini?
mwambie amuoe marehemu mama ako basi
Chief nimekuelewa kinoma noma.Uko vizur basi ni jamaa kaamua kushupaza ufahamu.Mkuu tulia kidogo afu pitia huo ujumbe wangu na wako. We unadhani Profit inatolewa tu kwa shareholders? Kuna some issues zinakuwa covered then kinachobakia ndio tunaita gawio ambalo ndio wanapata. Kuhusu share kuongezeka thamani hiyo ni kawaida lkn pia inaweza kushuka maana usikariri tu.
Kama ulidhania wanagawana FAIDA ondoa hiyo kitu.
Afu nani kakuambia kuwa mtu akitangazwa tajiri ni kwa sababu ya shares zake? We ni kilaza wa mwisho, unaposikia mtu fulani ni TAJIRI hatuangalii hizo shares tu, tunaangalia assets zake ambazo tukizichange tunapata fedha kiasi gani, hapo tunajumuisha Nyumba, mashamba, nk nk nk. Sio kwamba wanaangalia share zake kupanda. How possible kampuni moja afu share za Diamond zipande na za sharaholder ziwe chini? Ile ni kampuni hivyo kinachopanda ni share za kampuni na sio za mtu fulani.
Tatizo lako unaingiza ushabiki wa kitoto. Hapo mwenyewe unakula daku wali maharage huku umeshika Infinix iliyo na cracks na ambayo amekuachia shemeji yako unajiona umeandika nondo kwelikweli.
Akiingiza billion moja utafaidika? angalia maisha yako na familia yako kwa ujumlaAchana na media na mengine, Diamond kwenye mauzo ya muziki digital kwa mwaka haipungui million 700 na hapo anatoa nyimbo mbili kwa mwaka. Sasa ngoja aje na album nafikiri ataweka rekodi mpya east Africa ya mauzo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Na wewe jitahidi ili mwanao aje kua msimamizi wa mali zako kama ilivyo kwa Mo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kunogesha genge... Mi huwa nashangaa mtu akitaniwa hivyo anachukia wakati hata hatujuani. Yaan humu ndani ni kituko, mtu anaweza mind as if mnajuana na anatamani arushe hata mshala kama morani. Wanasahau huu ni mtandao na hatujuani hivyo watu wachukulie pia ni sehemu ya kufurahia maishaChief nimekuelewa kinoma noma.Uko vizur basi ni jamaa kaamua kushupaza ufahamu.
Ila hapo kwenye infinix naomba utuache kidogo usije leta maafa ya kimbunga Jobo.
Pia mimi nimeangalia top 10 ya africa hayupo huyo bwanaMbona nimeangalia hata top 20 hayupo?
Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.Mkuu unaweza kuwa na hoja nzuri sana, lakini unafanya personal attacks ambazo ni unnecessary.
Acha kujificha kwenye matusi, fafanua hoja zako zieleweke.
Hivi kuna mtu katukana pahala fulani?Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.
Hivi kuna mtu katukana pahala fulani?Usimlaumu, matusi na diversions za kukwepa mapambano ya hard facts ni strategy unapoona ya kwambayou're throwing punches but you ain't strong enough kukabili similar punches zitokazo kwa mshindani wako.
Maisha yangu yapo njema sana ndio maana sinaga stress yani positive vibes only.Akiingiza billion moja utafaidika? angalia maisha yako na familia yako kwa ujumla
chige kakukalisha umeishia kutukana.Hivi kuna mtu katukana pahala fulani?
We Mburula kweli aisee!!Afu nani kakuambia kuwa mtu akitangazwa tajiri ni kwa sababu ya shares zake? We ni kilaza wa mwisho, unaposikia mtu fulani ni TAJIRI hatuangalii hizo shares tu, tunaangalia assets zake ambazo tukizichange tunapata fedha kiasi gani, hapo tunajumuisha Nyumba, mashamba, nk nk nk. Sio kwamba wanaangalia share zake kupanda. How possible kampuni moja afu share za Diamond zipande na za sharaholder ziwe chini? Ile ni kampuni hivyo kinachopanda ni share za kampuni na sio za mtu fulani.
Hiyo ni January 6, Elon anamuacha Jeff!!On Thursday it finally happened. The electric-automaker’s shares surged 7.9%, boosting Musk past Amazon.com Inc. founder Jeff Bezos on the Bloomberg Billionaires Index, a ranking of the world’s 500 wealthiest people. Musk is worth $194.8 billion, or $9.5 billion more than Bezos, whose Blue Origin is a rival to Musk’s Space Exploration Technologies Ltd., or SpaceX, in the private space race.
Hiyo ni January 13, 2021Jeff Bezos has yet again clinched the title of world’s richest person from Elon Musk, after shares of Amazon AMZN -0.1% jumped on Wednesday.
Amazon’s stock rose by nearly 1.5% on Wednesday, pushing Bezos’ net worth up by $2.4 billion, to $184.9 billion. That makes him the richest person in the world once again, according to Forbes’ estimates. Bezos is just $200 million richer than number two richest Musk, who is worth $184.7 billion
Acha kujifanya unajua wakati huna unachojua!!!!Tatizo lako unaingiza ushabiki wa kitoto. Hapo mwenyewe unakula daku wali maharage huku umeshika Infinix iliyo na cracks na ambayo amekuachia shemeji yako unajiona umeandika nondo kwelikweli.
Wewe una nini? Hawa chawa wamekuwa wengi kipindi cha mwendazake!Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
WEWE NI KILAZA, HUJUI LOLOTE, ndo maana badala ya kujibu kwa hoja, unakimbilia matusi... VERY STUPID!!!Haya rudia kusoma utopolo wako juu kule. Ndio maana nimekuelekeza hapo usije hapa ukadhani unabishana na vitoto vya skuli ya donge. Kampuni tunagawana gawio tena wakati mwingine unaweza usipewe cash ikathamishwa kwenye share zake wa kuziongeza tu.
Nyie watoto wa uswazi mkikosa kazi za kufanya mnakuja kuanzisha vitu havina mashiko yoyote.