Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

Diamond aendelea kuwafunga midomo wanaomsema kuhusu nyumba

Hivi unaelewa kweli wewe?! Post yangu ilikuwa:-

Na nimekuonesha hapo majarida mawili makubwa duniani wakati yanataja mtu mmoja anavyompiku mwingine, wewe unaniletea definition of wealth kama inavyofundishwa darasani!!
Ndio nakueleza ww mtoto wa uswazi kuwa utajiri haupimwi hivyo sasa. Utajiri huangaliwa vitu lukuki mno, pamoja na madeni. Sasa ww unang'ang'ana share share, na ukute hata hujui share zenyewe hutokana na nini.
 
Jenga hoja dadangu, matusi hayatakusaidia sana sana yanathibitisha jinsi gani ulivyo mpumbavu!!!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Nyie bila mikao mikali ya dada zenu hamtoboi mjini hapa.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Nyie bila mikao mikali ya dada zenu hamtoboi mjini hapa.
Vipi dadangu, mbona unaanza kujichekesha chekesha?! Au upo kwenye mauzo? Narudia, rudi kwa Ras Simba akufundishe upya kwamba sio COLLAGE bali COLLEGE!!
Tatizo lenu mkitoka The AMAZON COLLAGE mnahisi mshamaliza kujua mambo.
 
Ndio nakueleza ww mtoto wa uswazi kuwa utajiri haupimwi hivyo sasa. Utajiri huangaliwa vitu lukuki mno, pamoja na madeni. Sasa ww unang'ang'ana share share, na ukute hata hujui share zenyewe hutokana na nini.
Tofautisha wealthy na richness we mburula, kwa sababu mjadili ulikuwa unahusu share!!!! Mbona una kichwa kigumu we mtoto wa kike?

Au ndo wale mnaokuja mtaani na digrii za kuwavulia ma-lecturer chupi?
 
Vipi dadangu, mbona unaanza kujichekesha chekesha?! Au upo kwenye mauzo? Narudia, rudi kwa Ras Simba akufundishe upya kwamba sio COLLAGE bali COLLEGE!!
Nishakuambia kuwa subiri kiuno cha dada kikuweke mjini hapa.
 
Nishakuambia kuwa subiri kiuno cha dada kikuweke mjini hapa.
Utatukana sana, lakini wewe ni kilaza, na mademu aina yenu kinachoumia ni sehemu zenu za siri!!! Yaani tunaongea habari za share wewe unaleta habari za mtu kumiliki mashamba... hivi una akili kweli wewe?!
 
Utatukana sana, lakini wewe ni kilaza, na mademu aina yenu kinachoumia ni sehemu zenu za siri!!! Yaani tunaongea habari za share wewe unaleta habari za mtu kumiliki mashamba... hivi una akili kweli wewe?!
Utajiri haupimwi kwa share sasa kama unavyotaka kusema wewe. Hao matajiri unaotaja hapa hupimwa kwa factor hizo hapo nilizokupa. Sasa ww unalazimisha kuwa wanaangalia share. Kwanza share ni nini kwa akili yako?
 
Tofautisha wealthy na richness we mburula, kwa sababu mjadili ulikuwa unahusu share!!!! Mbona una kichwa kigumu we mtoto wa kike?

Au ndo wale mnaokuja mtaani na digrii za kuwavulia ma-lecturer chupi?
Kwahiyo kwako ww Wealth na Rich hutofautishwa na hizo share? Kwa kuwa ww hujui kitu ngoja nikuelekeze utofauti wa hayo maneno.
Wealthy ni kundi la matajiri (tajiri) ambaye utajiri wake unaweza kaa kwa muda mrefu na ambaye hana hata matumizi ya kujionesha sana. Rich ni tajiri (Matajiri) ambao utajiri wao ni wa mizuka na unaweza ondoka kirahisi mfano ww ukibet kama kawaida yako ukapata 500M utaitwa Rich.
Unaingiza vitu hata ujui muktadha wa matumizi yake haya sasa ukiwa na share nyingi ndio unakuwa Rich au Wealthy person?
Kwa kifupi hujui kitu na bila shaka muda huu unasikilizia futari kwa dada hapo huku umenyoa kiduku.
 
Kwahiyo kwako ww Wealth na Rich hutofautishwa na hizo share? Kwa kuwa ww hujui kitu ngoja nikuelekeze utofauti wa hayo maneno.
Wealthy ni kundi la matajiri (tajiri) ambaye utajiri wake unaweza kaa kwa muda mrefu na ambaye hana hata matumizi ya kujionesha sana. Rich ni tajiri (Matajiri) ambao utajiri wao ni wa mizuka na unaweza ondoka kirahisi mfano ww ukibet kama kawaida yako ukapata 500M utaitwa Rich.
Unaingiza vitu hata ujui muktadha wa matumizi yake haya sasa ukiwa na share nyingi ndio unakuwa Rich au Wealthy person?
Kwa kifupi hujui kitu na bila shaka muda huu unasikilizia futari kwa dada hapo huku umenyoa kiduku.
Utajiri haupimwi kwa share sasa kama unavyotaka kusema wewe. Hao matajiri unaotaja hapa hupimwa kwa factor hizo hapo nilizokupa. Sasa ww unalazimisha kuwa wanaangalia share. Kwanza share ni nini kwa akili yako?
We Mburula nimekuambia tulikuwa tunajadili suala la share!! Huwezi kujadili utajiri kwa kuangalia shares halafu uzungumzie habari za mashamba ambayo mtu anamiliki!!! "Utajiri" wa ku-bet na mambo ya share vinahusiana nini?

Hivi una akili kweli wewe?!

Yaani unaleta habari za ku-bet kwenye mada kama hii?! Hivi dadangu zinakutosha kweli wewe?
Kama unashindwa kuelewa jambo dogo kama hilo; unathibitisha wazi kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!
 
We Mburula nimekuambia tulikuwa tunajadili suala la share!! Huwezi kujadili utajiri kwa kuangalia shares halafu uzungumzie habari za mashamba ambayo mtu anamiliki!!! "Utajiri" wa ku-bet na mambo ya share vinahusiana nini?

Hivi una akili kweli wewe?!

Yaani unaleta habari za ku-bet kwenye mada kama hii?! Hivi dadangu zinakutosha kweli wewe?
Kama unashindwa kuelewa jambo dogo kama hilo; unathibitisha wazi kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!
Sasa ndio unaambiwa kuwa utajiri haupimwi kwa hizo share sasa. Kwnn nihangaike na wanyoa viduku na walala sebuleni.
Nipe kwanza maana ya SHARE maana umeshikilia kweli.?
 
A share is a single unit of ownership in a company or financial asset. It is essentially an exchangeable piece of value of a company which can fluctuate up or down, depending on several different market factors. Companies divide capital into shares as a means of raising capital. Shares are also known as stocks.

Different types of shares

  • Cumulative
  • Non-cumulative
  • Participating
  • Non-participating
  • Convertible
  • Non-convertible
  • Redeemable
  • Irredeemable

How do shares work in a private company?
It gives investors who purchase the private shares an ownership stake in the company. In exchange for obtaining money to grow your business, you give up sole ownership. Later, you may decide to pay the investors back and take back equity, or you may keep them on as part-owners until you sell your company.


KWA AKILI YANGU NDOGO NAVYO JUA NI HIVI:

Mfano kama wanataka kufungua wasafi media na wakaangalia kiwango kinacho hitajika ni mfano, milioni 100 hapo diamond ata weka zake arobaini na tano (%45) hivyoo watatafutwa wengine kumalizia asilimia 55% hivi mwenye share nyingi ni diamond kwa kuwa ni mtu mmoja ila weninge wa asilimian 55% wanakuwa ni watu wengi zaidi labda ya 5 au 6 na zaidi au hata 3.

Tukija kwenye swala la share kupanda ina maana kuna thamani ya faida imeongezeka kwenye kampuni, mfano kama ikiingia faida ya milioni 10 sio kwamba diamond atachukua zake 4.5 hapana maana share zina magawio ya aina tofauti sana, hapo offisi itapandisha hisa zake kutoka 45 lamda mfano mapaka 46.2% na anaweza akapewa kiasi kidogo either labda mshahara wa kawaida na nyongeza kidogo.

hii nikutokana na kuweka uwezo wa ku oparate kampuni pale inapo tokea swala la kushuka kwa hisaa au kipindi kampuni ina drag down. kuna kuwa na ziada ya ku cover loss.

wakisema mfano faida ni 100 M kisha waka mpa diamond milioni %45 zake kama faida jua kuna vitu kwenye kampuni havita enda kuna siku vita kwama.

na siku zote lazima kampuni ii hakikishe kuwa value ya share inapanda kila kukichaaa...

HAYO NI MAWAZO YANGU TU YANAWEZA KUWA NDIO AU SIO.
 
Sasa ndio unaambiwa kuwa utajiri haupimwi kwa hizo share sasa. Kwnn nihangaike na wanyoa viduku na walala sebuleni.
Nipe kwanza maana ya SHARE maana umeshikilia kweli.?
Pole sana, bado upo kishule shule sana!

Rudia tena posts zangu zinazosema "Elon ampiku Jeff" as the world's richest man" na posts zinazosema Jeff arudia kiti chake, kwa sababu hicho ndicho chanzo cha mjadala!!

Na sio kwamba nimeshikilia sana suala la share, nakuona wewe unaondoka nje ya mada!! Kukumbusha mada ilikoanzia, ni hapa:-
Wasafi media. Anamiliki share 45%... yaani kila faida ya milion 100 inayoingia wasafi media.. yeye anapata milioni 45
Nawe ukajibu
Kuwa na share 45% doesn't mean it will give u a profit of that %, in any company what you'd know is that, we're just dealing with dividends and not Net Profit.
Ndipo nikakukumbusha kwa kampuni mpya, and in fact hata ya zamani, deividend sio issue lakini muhimu ni kupanda kwa thamani ya kampuni!!

Na bado nendelea kukukumbusha kwamba, mjadala ulikuwa unahusu suala la thamani za hisa kupanda... hatujazungumzia nani anamiliki nini! Na kukuendelea kukumbusha nilisema "...Share values zinakuwa as the company makes profit"!

Na hapo ndipo nikakupa mfano wa Elon na Jeff!

Na kama hujui, then be informed kwamba, kwa wenzetu hizi takwimu hivi sasa huwa zinatolewa in real time, na ndo maana usishangae leo ukisikia Trump ndie Richest Man on Earth lakini kesho akatajwa Bill Gates!!
 
Pole sana, bado upo kishule shule sana!

Rudia tena posts zangu zinazosema "Elon ampiku Jeff" as the world's richest man" na posts zinazosema Jeff arudia kiti chake, kwa sababu hicho ndicho chanzo cha mjadala!!

Na sio kwamba nimeshikilia sana suala la share, nakuona wewe unaondoka nje ya mada!! Kukumbusha mada ilikoanzia, ni hapa:-

Naendelea kukukumbusha kwamba, mjadala ulikuwa unahusu suala la thamani za hisa kupanda... hatujazungumzia nani anamiliki nini! Na kukuendelea kukumbusha nilisema "...Share values zinakuwa as the company makes profit"!

Na kama hujui, then be informed kwamba hizi takwimu hivi sasa huwa zinatolewa in real time, na ndo maana usishangae leo ukisikia Trump ndie Richest Man on Earth lakini kesho akatajwa Bill Gates!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umesoma hapo juu jamaa kaweka maana ya share? Unakumbuka umesema matajiri wa dunia hupimwa kwa hizo share? Ndio maana nakuambia ww ni kilaza. Subiria futari hapo home au ukiweza panda daladala njoo masaki upunguze Stress hizo.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umesoma hapo juu jamaa kaweka maana ya share? Unakumbuka umesema matajiri wa dunia hupimwa kwa hizo share? Ndio maana nakuambia ww ni kilaza. Subiria futari hapo home au ukiweza panda daladala njoo masaki upunguze Stress hizo.
We jamaa una Kichwa Kigumu!! Ulivyo kilaza, umeishia hapo alipoorodhesha aina ya share, lakini umeshindwa kusoma ufafanuzi wake!! sasa kwavile unayakubali maelezo yake, amekuambia hivi:
Tukija kwenye swala la share kupanda ina maana kuna thamani ya faida imeongezeka kwenye kampuni, mfano kama ikiingia faida ya milioni 10 sio kwamba diamond atachukua zake 4.5 hapana maana share zina magawio ya aina tofauti sana, hapo offisi itapandisha hisa zake kutoka 45 lamda mfano mapaka 46.2% na anaweza akapewa kiasi kidogo either labda mshahara wa kawaida na nyongeza kidogo.
Sasa kama hiyo hoja unaikubali, ina tofauti gani na niliposema:-
Kama biashara ilianza kwa sh. 100, yeye share zake zilikuwa na thamani ya Sh. 45! Kama biashara imepata faida na kukua kiasi cha kuwa na thamani ya sh. 200, thamani ya share zake haziwi tena Sh 45!

Leo hii inapotangazwa kwa mfano, Elon Musk amempiku Jeff Bezos kwa utajiri, sio kwamba kuna pesa ya ziada imeingia kwenye akaunti ya Elon bali thamani ya hisa zake imepanda!!!
Na tena nikakuambia:-

Nimekuambia profit inatolewa au nimekuambia kadri kampuni inavyotengeneza faida, na thamani ya hisa inapanda?!

Kuhusu kushuka sawa, lakini nilizungumzia "... as company makes profit" kujibu hoja yako kwamba "...in any company what you'd know is that, we're just dealing with dividends and not Net Profit", kwamba, tuachane na masuala ya gawio ambayo sio muhimu kwa a newly established company lakini hata asipopata gawio, bado share zake zinapanda thamani!
Kama unashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho, basi una safari ndefu sana, no wonder watu tunajadili masuala ya share wewe unaleta habari za ng'ombe ambao mtu anamiliki!
 
We jamaa una Kichwa Kigumu!! Ulivyo kilaza, umeishia hapo alipoorodhesha aina ya share, lakini umeshindwa kusoma ufafanuzi wake!! sasa kwavile unayakubali maelezo yake, amekuambia hivi:

Sasa kama hiyo hoja unaikubali, ina tofauti gani na niliposema:-

Na tena nikakuambia:-


Kama unashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho, basi una safari ndefu sana, no wonder watu tunajadili masuala ya share wewe unaleta habari za ng'ombe ambao mtu anamiliki!
Hahahahaha soma uelewe, ww umekomalia kuwa matajiri hupimwa kwa hizo share. Ndio unaambiwa sasa utajiri wa mtu haupimwi na hiyo kitu. Na pia shareholders hugawana dividends na sio Profit.
Unamwambia nani utopolo huo nawe hujui lolote? Endelea kusubiria futari hapo
 
Hahahahaha soma uelewe, ww umekomalia kuwa matajiri hupimwa kwa hizo share. Ndio unaambiwa sasa utajiri wa mtu haupimwi na hiyo kitu. Na pia shareholders hugawana dividends na sio Profit.
Unamwambia nani utopolo huo nawe hujui lolote? Endelea kusubiria futari hapo
Una KICHWA KIGUMU KUELEWA!! Dalili tosha kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!!
 
We jamaa una Kichwa Kigumu!! Ulivyo kilaza, umeishia hapo alipoorodhesha aina ya share, lakini umeshindwa kusoma ufafanuzi wake!! sasa kwavile unayakubali maelezo yake, amekuambia hivi:

Sasa kama hiyo hoja unaikubali, ina tofauti gani na niliposema:-

Na tena nikakuambia:-


Kama unashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho, basi una safari ndefu sana, no wonder watu tunajadili masuala ya share wewe unaleta habari za ng'ombe ambao mtu anamiliki!
mkuu sikupitia comment zako mimi nilisoma za jamaa kidogo nikaandika ninacho kijua. OVER
 
Back
Top Bottom