Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
Achafa uchofoko maaja
anagapi zama keya maaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anagapi zama keya maaja
Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Kodi anaenda kula uncle Shamte.Baada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Na nilishakusudia kuuchana nae.mkuu upo sahihi kabisa, nimepitia mjadala wenu nachokiona utaumiza kichwa tu. Kwani huyu mtu ataki kuelewa kabisa ni bora ufanye mambo mengine ila tupo tuliokuelewa.
Zuckbergy ana share 29.3% na siyo 5050% ni mmiliki halali huyo, hakuna wazo linaweza pitishwa bila yeye! Ila ingekua ana 49% tu kwenye company,basi anakua anapelekwa tu! Huoni Simba wanakataa kumpa MO 51% za umiliki,unadhani kwa nini!
Ingawaje hizi terms huwa zinatumika interchangebly, lakini hawa akina Elon Musk are just Richest Men on Earth!
We tutolee ujinga wako hapa. Majority shareholder lazima awe na share ambazo hata wale wengine wakizijumisha share zao hawamfikii. Huwezi kuwa na below 50% shares ukasema ni MAJORITY. Majority shareholder sio mmiliki mwenye hisa nyingi tu bali yule ambaye anaweza kuamua kitu bila kupingwa kutokana na nguvu yake kuzidi 50%.Hiyo 30% inaweza kuwa ndio majority share holder, wengine wana 2%, 5% etc
Dogo utajiri hawaangalii kupanda kwa hisa as the base ya ww kuwa tajiri bali vitu vingi mno hapo huangaliwa.Ingawaje hizi terms huwa zinatumika interchangebly, lakini hawa akina Elon Musk are just Richest Men on Earth!
Hawa Matajiri wa Kileo takwimu zao zinatolewa in real time, ndo maana kesho Jmatatu Elon anaweza kutangazwa ndie richest person kwa sababu Tesla Shares zime-shoot, na next week akatajwa Larry Page.
January kwa mfano, Elon alitajwa kuwa ndie richest man baada ya thamani ya hisa za Tesla kupanda kwa 4.8%.
Mtu anawezaza kuwa rich na wealthy at the same time kama utajiri wake ni endelevu on the other hand unaweza kuwa rich na usiwe wealthy . Mfano unaweza ukashinda bahatinasibu ukapata mamilioni ya hela na kuwa rich na utajiri wako ukakoma pale utakapofilisika kushuka ktk vigezo vya utajiriji wake. Hivyo kifupi wealth ni mtu mwenye utajiri endelevu(sustainable wealthy) na rich ni mtu aliepata hela, status kwa vigezo fulani fulani.Ingawaje hizi terms huwa zinatumika interchangebly, lakini hawa akina Elon Musk are just Richest Men on Earth!
Hawa Matajiri wa Kileo takwimu zao zinatolewa in real time, ndo maana kesho Jmatatu Elon anaweza kutangazwa ndie richest person kwa sababu Tesla Shares zime-shoot, na next week akatajwa Larry Page.
January kwa mfano, Elon alitajwa kuwa ndie richest man baada ya thamani ya hisa za Tesla kupanda kwa 4.8%.
Analipa kodi ya jengo ya kila mwaka pamoja na ardhi..Hii itasaidiaje Mheshimiwa Samia aweze ongeza Mishahara
Una KICHWA KIGUMU KUELEWA!! Dalili tosha kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!!Dogo utajiri hawaangalii kupanda kwa hisa as the base ya ww kuwa tajiri bali vitu vingi mno hapo huangaliwa.
[emoji706][emoji706] Tatizo lako umekariri kuwa utajiri ni share na unaamini kabisa ukiwa na share 45% basi kwenye faida unapata hivyo. Ndio maana tangia muda ule unakula daku hapo kwa shemeji yako nakuelekeza. Nenda kajifunze tena. Tatizo lenu wanyoa viduku mnakuja na majibu yenu mfukoni hasa mkishiba ugali wa shemeji ndio akili inahama kabisaaaUna KICHWA KIGUMU KUELEWA!! Dalili tosha kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!!
Unajua Zakaria alipokua akiishi kweli ??Jana tuliambiwa habari za kifo cha Haroun Zakaria (sina hakika kama ni habari za kweli)! Zakaria kama alihama nyumba za NHC basi ni miaka ya hivi karibuni tu!!
Sasa kwa uelewa wako tajiri kama Zakaria anaweza kushindwa kuwa na nyumba?!
Labda nikukumbushe tu, Diamond ni mpiga kazi sana, hata usiku wa manani unaweza kumkuta ofisini!
Kwa mtu kama huyo best option kwake ni kukaa karibu na kazini kwake na sio kuonesha kwamba na yeye anamiliki nyumba! Kwa bahati mbaya, kaja kushika pesa wakati ambapo maeneo iliko ofisi yake yameshakuwa occupied na wenye pesa, na kuwavua inabidi uingie mfukoni hasa!!!
Nakubaliana na wewe kwa sababu pesa ndo kila kitu! Pesa ndo chanzo cha wealth! Hata hivyo, huu mjadala umeanzia mbali sana! Umeanzia ni kwenye kampuni kufanya vizuri, and consequently kupanda thamani za share!!Mtu anawezaza kuwa rich na wealthy at the same time kama utajiri wake ni endelevu on the other hand unaweza kuwa rich na usiwe wealthy . Mfano unaweza ukashinda bahatinasibu ukapata mamilioni ya hela na kuwa rich na utajiri wako ukakoma pale utakapofilisika kushuka ktk vigezo vya utajiriji wake. Hivyo kifupi wealth ni mtu mwenye utajiri endelevu(sustainable wealthy) na rich ni mtu aliepata hela, status kwa vigezo fulani fulani.
Una KICHWA KIGUMU KUELEWA!! Dalili tosha kwamba una digrii ya kuwavulia watu chupi!![emoji706][emoji706] Tatizo lako umekariri kuwa utajiri ni share na unaamini kabisa ukiwa na share 45% basi kwenye faida unapata hivyo. Ndio maana tangia muda ule unakula daku hapo kwa shemeji yako nakuelekeza. Nenda kajifunze tena. Tatizo lenu wanyoa viduku mnakuja na majibu yenu mfukoni hasa mkishiba ugali wa shemeji ndio akili inahama kabisaaa
Post uliyo-quote nimesema nini?!Unajua Zakaria alipokua akiishi kweli ??
Rudi shuleWe tutolee ujinga wako hapa. Majority shareholder lazima awe na share ambazo hata wale wengine wakizijumisha share zao hawamfikii. Huwezi kuwa na below 50% shares ukasema ni MAJORITY. Majority shareholder sio mmiliki mwenye hisa nyingi tu bali yule ambaye anaweza kuamua kitu bila kupingwa kutokana na nguvu yake kuzidi 50%.
Hiyo hapo na hawa pia warudi shule?Rudi shule
Rudi kwenye comment yangu. Point yako itamake sense kama all shares (100%) zimekuwa allocated. Assuming kwamba Zuckerberg ni majority shareholder with say 30% hii inamaana other share holders wana minor shares - say 2%, 3%.. na pengine total shares zilizokuwa allotted hazizidi 50% usichoelewa nini?Hiyo hapo na hawa pia warudi shule? View attachment 1771546
Wapi umeeleza kuwa allocated shares zimekuwa chini ya 50%. Afu unawezaje kuwa 30% majority? Au huelewi kuwa 30% ni sawa na 30/100? Means kuna 70/100 ipo sasa ili uwe majority shareholder lazima uzidi 50% ya shares. Kinachofanyika ni kwamba kama hakuna mwenye share zinazozidi 50% basi unamtafuta mtu akupe support ili uunganishe shares ndipo muwe na nguvu kwa pamoja na hapo mmoja wenu ndio anaamua kumuacha mwenzake awe majority shareholder with a majority votes.Rudi kwenye comment yangu. Point yako itamake sense kama all shares (100%) zimekuwa allocated. Assuming kwamba Zuckerberg ni majority shareholder with say 30% hii inamaana other share holders wana minor shares - say 2%, 3%.. na pengine total shares zilizokuwa allotted hazizidi 50% usichoelewa nini?