sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #81
Mimi nna kila kitu anachohitaji kijana mdogo kama alama ya mafanikio.Wewe una nini? Hawa chawa wamekuwa wengi kipindi cha mwendazake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nna kila kitu anachohitaji kijana mdogo kama alama ya mafanikio.Wewe una nini? Hawa chawa wamekuwa wengi kipindi cha mwendazake!
Watu wengi hua hawajui kwamba wasanii wengi hua ni maarufu ila hawana hela. Kuna mtu ukimuambia kua Jay Z wa marekani hamfikii Mo Dewji wa bongo kwa hela hawezi kuamini!!
Acha maneno broo na kuweka picha za kwenye mtandao kama za matapeli wanazoibianazo watu LETA HAPA HATI YA NYUMBA ILI TUJUE NA LAKO HALISI NA LA BABA YAKOBaada ya kelele nyingi mtandaoni kuhusu Diamond kuishi nyumba ya kupanga na wengine wakisema hana nyumba.
Ameendelea kuwajibu kupitia insta story, kwanza anawakumbusha ana mjengo south africa alioununua 2016.
Pia kawaonyesha moja ya mijengo yake uliopo mtaa namba moja mjini yani Sinza.
Na mimi nawakumbusha tu Chibu ana hotel ya ghorofa kadhaa hapa mjini na pia ana kijiji sio nyumba ipo mwisho mwisho kukamilika.
View attachment 1770265
View attachment 1770266
View attachment 1770269
Hujapata chawa wako wa kukuandika mtandaoni?Mimi nna kila kitu anachohitaji kijana mdogo kama alama ya mafanikio.
Unataka hati kwani vita mzee? kama hauamini endelea na maisha yako ujashikiwa bastola.Acha maneno broo na kuweka picha za kwenye mtandao kama za matapeli wanazoibianazo watu LETA HAPA HATI YA NYUMBA ILI TUJUE NA LAKO HALISI NA LA BABA YAKO
I am a professional copywriter and biz consultant, I do help people to grow their business online.Hujapata chawa wako wa kukuandika mtandaoni?
Bado hajagaia chawa wake katika hiyo 45.Wasafi media. Anamiliki share 45%... yaani kila faida ya milion 100 inayoingia wasafi media.. yeye anapata milioni 45
Hongera sana, basi acha tabia za uchawa pambambania prefessional yako man.I am a professional copywriter and biz consultant, I do help people to grow their business online.
Kuandika ni moja ya profession zangu.Hongera sana, basi acha tabia za uchawa pambambania prefessional yako man.
Sasa kaleta mapicha ya nini kama hati hana?Unataka hati kwani vita mzee? kama hauamini endelea na maisha yako ujashikiwa bastola.
Nadhani Mo sio peke yake ni mali ya family na uhakika wote wanafamilia wana share ila yeye ndio anaongoza kampuni ila na uhakika sio kwamba anamiliki 100% ni family business.CR7 pesa alizonazo hazifikii hata nusu ya pesa za Mo.
Kusimamia mali za kina fulani nalo sio tatizo. Mbona Jeff Bezos na Elon Musk wote ni CEOs wanasimamia mali za shareholders. Ila mimi mwenyewe sijawahi elewa utajiri wa Mo umekaaje, baba yake yupo na ndio kaanzisha hiyo fortune. Je tunahesabu mali kwa Gulam au kwa Mo?
Ahaha i understand....ni mitihan mkuu.We humjui ila wengine wanamfahama ( u knw hzi pm things) so unapompa darasa anaona kama umadharirisha 😂😂 hapo ndio vijana walipojiharibia thats y full kubadil IDs ehehehehwh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kunogesha genge... Mi huwa nashangaa mtu akitaniwa hivyo anachukia wakati hata hatujuani. Yaan humu ndani ni kituko, mtu anaweza mind as if mnajuana na anatamani arushe hata mshala kama morani. Wanasahau huu ni mtandao na hatujuani hivyo watu wachukulie pia ni sehemu ya kufurahia maisha
Sawa basi andika kama, mprofessional balance story, hii umeandika kiudaku udaku kuegemea upande ndiyo maana tunakuona kama chawa flani hivi.Kuandika ni moja ya profession zangu.
Nilichogundua kwa akili hizi hatuwezi kuwa na nchi yenye uchumi imara. Kwahiyo wanaangalia share au sio? We ni kilaza tena sana.We Mburula kweli aisee!!
Yaani unakuta jana tajiri Jeff, halafu leo inatangazwa Musk kamzidi Jeff; kesho kutwa tena wanatangaza Jeff karudia kiti; yaani kwa akili yako unadhani kinachoangaliwa ni nini kama sio thamani ya share?
Anza kuwasoma Bloomberg Wealth kwanza:-
Hiyo ni January 6, Elon anamuacha Jeff!!
One week later, hawa hapa Forbes na wenyewe wasome:-
Hiyo ni January 13, 2021
Kama hapo kwenu kuna mtoto hata wa darasa la IV, hatimae muulize ni nani kilaza kati yangu na wewe!!
Btw, wapi nimesema huwa zinapanda shares za Diamond na za mwingine zinashuka? hivi una akili kweli wewe?!
Acha kujifanya unajua wakati huna unachojua!!!!
Bro usibishe tu ilimradi kubisha maana haikusaidii kitu na wala haibadilishi ukweli. Yeye mwenyewe anasema ni msenegal na anatambulika kama msenegal sasa sijui wewe ni nani unayemlazimisha asiwe muafrica.Akon ni raia wa Marekani.period.
Rudi tena skuli mdogo wangu. Utajiri haupimwi hivyo. Naendelea kusisitiza kuwa wakati unatumia hiyo infinix iliyocrack na ambayo umeachiwa na shemeji yako pitia pitia mitandaoni ujifunze kitu. Tatizo lenu mkitoka The AMAZON COLLAGE mnahisi mshamaliza kujua mambo.WEWE NI KILAZA, HUJUI LOLOTE, ndo maana badala ya kujibu kwa hoja, unakimbilia matusi... VERY STUPID!!!
Fine, mimi mtoto wa Uswazi, sasa how come wewe mtoto wa kishua unayetaka kuaminisha watu umesoma shule za kishua lakini bado una uelewa finyu kama ubongo wa kuku?
Anamiliki 75pcNadhani Mo sio peke yake ni mali ya family na uhakika wote wanafamilia wana share ila yeye ndio anaongoza kampuni ila na uhakika sio kwamba anamiliki 100% ni family business.
Hivi unaelewa kweli wewe?! Post yangu ilikuwa:-Nilichogundua kwa akili hizi hatuwezi kuwa na nchi yenye uchumi imara. Kwahiyo wanaangalia share au sio? We ni kilaza tena sana.
Haya angalia ni kwa namna gani utajiri unapimwa maana ww ni chizi.
Tatizo hampendi kujua utajiri unakuwa measured vipi. Kwahiyo kama unashare zenye thamani yenye Bil 500 utaitwa tajiri hata kama una madeni ya Bil 600?View attachment 1770930
Na nimekuonesha hapo majarida mawili makubwa duniani wakati yanataja mtu mmoja anavyompiku mwingine, wewe unaniletea definition of wealth kama inavyofundishwa darasani!!Leo hii inapotangazwa kwa mfano, Elon Musk amempiku Jeff Bezos kwa utajiri, sio kwamba kuna pesa ya ziada imeingia kwenye akaunti ya Elon bali thamani ya hisa zake imepanda!!!
Jenga hoja dadangu, matusi hayatakusaidia sana sana yanathibitisha jinsi gani ulivyo mpumbavu!!!! Halafu sio Collage ni College, jinga sana wewe!!!Rudi tena skuli mdogo wangu. Utajiri haupimwi hivyo. Naendelea kusisitiza kuwa wakati unatumia hiyo infinix iliyocrack na ambayo umeachiwa na shemeji yako pitia pitia mitandaoni ujifunze kitu. Tatizo lenu mkitoka The AMAZON COLLAGE mnahisi mshamaliza kujua mambo.