sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Unajipa maumivu yasiyo ya lazima, Diamond kashindikana.Sawa Baba Levo tumekusikia...
Vigezo vyote vya kuwa namba moja.Hivi msanii kuitwa namba moja Africa vinatumika vigezo gani?
asking for me and 1 million others
uchawaHivi msanii kuitwa namba moja Africa vinatumika vigezo gani?
asking for me and 1 million others
Kubet dhambi ila kutafta hela sio dhambiπKubet dhambi
Tunaposema litengenezwe sanamu lake tunaona vingi watu wasioviona kwa huyu tajiri kijana mdogoDah analisongesha mbaya sana.
Hizi ngonjera za kuwapa nafuu ya maumivu hamjatafuta mpya?NI ya kwake au balozi?
Anachukua hisa asilimia ngapi?Tunaposema litengenezwe sanamu lake tunaona vingi watu wasioviona kwa huyu tajiri kijana mdogo
Utakuta anakuwa proud na sportpesa sababu inadhamini timu yake ila cha Mondi dhambi ππππKubet dhambi ila kutafta hela sio dhambiπ
Anachukua 3% mkuu, au tufanye 1% ili upate ahueni?Anachukua hisa asilimia ngapi?
Diamond karanga zipo wapi?Hizi ngonjera za kuwapa nafuu ya maumivu hamjatafuta mpya?
Ok basi ni balozi wa Wasafi pata nafuu kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nimeuliza kwania nzuri na lengo ni kutaka kujua tuAnachukua 3% mkuu, au tufanye 1% ili upate ahueni?