Tunaipongeza sana serikali ya awamu ya sita kwa kukuza uwekezajiDiamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.
Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.
Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.
View attachment 2023903
Nimecheka kimbwaaa yani dah! Waja mnajua kuburudisha nyoyo za binadamu wengineAnachukua 3% mkuu, au tufanye 1% ili upate ahueni?
Zipo kwenuHivi Diamond karanga bado zipo pia?
Astakafirarah..Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.
Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.
Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.
View attachment 2023903
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Endelea KUPULIZWA mimi sina pingamizi.
Tena nasema UPULIZWE mpaka utapike damu
Chawa kwa makasirikoZipo kwenu
kwahiyo domo kwa sasa ni muuza ngadaKila la kheri zake...
Biashara ya betting Haina tofuati na kuuza madawa ya kulevya...
Sana tusimbeze Diamond, kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend Diamond Platnumz. Jina lake tu Diamond amefanya Investment kubwa ya Persona yake nyumbani na kimataifa