Diamond afunga hospitali ya Amana kwa muda

Pole sana mkuu kwa machache uliyoandika umenigusa Long live Mkuu...
 
dah kweli kabisa mkuu unastori ya kipekee. sasa wengine tulizaliwa njiani wakati wanaelekea hosptali juu ya machela ya kijiji sijui turudishe shukrani wapi? yote na yote ni kumshukuru Mungu kutujalia uhai
 
Menej wake said fella?? Sio babu tale
 
Ya muhimu yanaachwa, pesa zinatumika kununua Madiwani.

Hongera Diamond
 
Kwa niaba ya team Kiba, tunampongeza Diamond pia, na sisi tutamwambia Kiba aige mazuri yote kutoka kwa Simba.
 
Kiba ashatoa misaada Amana, Muhimbili, Temeke, Mwananyala, na Chalinze lakini hapendi show off tu
kwani mashindano mkuu,hata huyo mondi hajafanya show off angeamua angejitangaza kabisa hata kwenye tv.....tusitake kila kitu tuweke mashindano jamani daaah
 
Ktk wana muziki wa kizazi kipya huyu kijana anafaa kupongezwa na jamii pamoja na viongozi wa kitaifa, vitu anavyofanya kwa jamii ni vitu vya maana, kama kutoa msaada Hosptali , kununua madawati 600. Kusaidia vituo vya watoto yatima , kuwa saidia vijana na kuwainua katika muziki , kuwapa ajira vijana kwa kuwa na wafanyakazi zaidi ya Hamsini , pia kutoa nafasi za vijana ambao wanauza karanga ambayo idadi yake inaanzia kiwandani , kwenye maduka ya jumla kwenye maduka ya mtaani na pia kwa machinga ambayo idadi yake tunaiona barabarani Hongera sana Daimondplutnumz
 
Kwa niaba ya team Kiba, tunampongeza Diamond pia, na sisi tutamwambia Kiba aige mazuri yote kutoka kwa Simba.
Ni wazo zuri mm nawapenda wana muzik wote lakini Kiba mbona hana moyo wa kusaidia wengine asiseme anatoa kimya kimya ukitoa kwa uwazi unawapa watu wengine mwamko wa kutoa hiyo kimya kimya anampa nani abadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…