Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

AAaaaaah khaaa, tumetoka mbali binamuu, nilichambwa kweli sio utani yan mpaka leo nipo nina roho ngumu

Hhhhhhaaaa na huna roho mbayaa,ungekua na roho mbayaa usingemqoute matola wala matumbo
 
Mwenzangu hilo nalo neno, atumwagie hayo mauchafu yake, maana mie presha ishanipanda apa ninavyopenda umbea

binamu tumfate pm hapa jau binamuyetu anashindwa kukisanua inavyoelekea uchafu uchafu haswa mi nimemuelewa kusema kweli.
 
ndo mana mi siko active sana mana ngosha akija simu naweka pembeni kabisa siku hata siku nzima siingii naogopa

Hahahaaaaa mimi nimeamua kuacha tu,presha ya nini?bora nibaki JF yatosha
 
Hhhhaaaaa,mi hua nikiulizwa unafanya ninii najibu haraka naangalia tv hhhhaaa wakati nimo jamiii hhhhhhhaaaaa yaan huwi comfontable kusema nimo jamii hhhhhaaaa

hahahahaa yaani ni shida
mi kuna mda anachukua simu kabisa ndoa tamu mwenzangu maisha yenyewe haya akuuu
naheshimu mume wangu ananiweka mjini
 
Hhhhaaaaa,mi hua nikiulizwa unafanya ninii najibu haraka naangalia tv hhhhaaa wakati nimo jamiii hhhhhhhaaaaa yaan huwi comfontable kusema nimo jamii hhhhhaaaa

Hahahaaaa mimi akisharudi tu hamnioni tena humu labda aende dukani...uwiiiii nachukiaje?
 
hahahahaa yaani ni shida
mi kuna mda anachukua simu kabisa ndoa tamu mwenzangu maisha yenyewe haya akuuu
naheshimu mume wangu ananiweka mjini

Hhhhhhhaaaaaaa,mume mtamu jamaniii
 
Haha haaaa kweli una moyo sana...

Yaan mpaka tukajiunga group mimi Lady kim, TATIANA na wengine nimewasahau maana warumi alisema kwenye maubuyu tunakua wote kwenye kuchambwa tunamuacha hhhhhhaaaaa
 
Last edited by a moderator:
hahahahaa yaani ni shida
mi kuna mda anachukua simu kabisa ndoa tamu mwenzangu maisha yenyewe haya akuuu
naheshimu mume wangu ananiweka mjini

Hahaaaaa wewe acha tu shoga,nani aanze kuhangaika?wanaume wenyewe wakuoa wako wapi?tunavumilia tu lakini wakitoka ni sherehe....
 
Haha haaaa kweli una moyo sana...

Hivi na kipindi cha kumchamba Mange ulikuwemo humu hhhhhaaaa zilikua timu mbili humu timu Mange na sie ambao hatumtakii hhhhhaa ilikuaga rahaa mnoii
 
Yaan mpaka tukajiunga group mimi Lady kim, TATIANA na wengine nimewasahau maana warumi alisema kwenye maubuyu tunakua wote kwenye kuchambwa tunamuacha hhhhhhaaaaa

Hahahaaaa hao nao wamepotea jamani...mmoja alisema ana pumu sijui imekuwaje...
 
Last edited by a moderator:
Hivi na kipindi cha kumchamba Mange ulikuwemo humu hhhhhaaaa zilikua timu mbili humu timu Mange na sie ambao hatumtakii hhhhhaa ilikuaga rahaa mnoii

Nakumbuka hadi lara akaamua kufungua thread ya kumtetea
 
Ilikua ni shida binamu siku hiyoo Kim nana akaniacha yaan nikabaki na BADILI TABIA ilikua shidaa Paula kilaki ukujee

Shoga angu Siku hizi nikiona MTU anakuja na personal attacks nakaa pembeni.....ule mchambano was MMU ulinicost mwaya, sitaki kumuudhi tena Daktari wangu....namuheshimu sanaaa....achilia mbali kumpenda....
 
Last edited by a moderator:
Shoga angu Siku hizi nikiona MTU anakuja na personal attacks nakaa pembeni.....ule mchambano was MMU ulinicost mwaya, sitaki kumuudhi tena Daktari wangu....namuheshimu sanaaa....achilia mbali kumpenda....
Umbea uko damuni kwangu. Mchambo gani huo samahani lakini
 
Shoga angu Siku hizi nikiona MTU anakuja na personal attacks nakaa pembeni.....ule mchambano was MMU ulinicost mwaya, sitaki kumuudhi tena Daktari wangu....namuheshimu sanaaa....achilia mbali kumpenda....

Hhhhaaaaaa hata warumi haumsaidii
 
Hahahaaaa hao nao wamepotea jamani...mmoja alisema ana pumu sijui imekuwaje...

Wamepoteaaa aisee ila watarudiii
Nakumbuka nikamuona geniveros anasema jamani nikaribishenii mbea mwenzenu nilichekaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…