Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Wameitekaje?ukijaribu ku log in nayo inagoma?

Haijulikan kabisa, kuna watu walinichongea si unajua tena warumi alivyokuwa na maadui, bhas wakani report , yan nikiwajua nitawachamba we ngoja tu nafanya upelelez kimya kimya hawataamini
 
Na mbaaaado mtavimba hadi vidole Wema kimbizaaaaaaaaaa kwenye kona pshaaaaaaaaa

Hahaha am backoooooooo kimbunga kilinitupilia feri
 
Wewe zamani hili jukwaa lilikua linavamiwaaa,tunamchangia Matola kumchamba mi na warumi,,,basi Warumi ananifata pm ananiambia binam Dina tunalichamba lakini linachamba hiloooo yaan nilitaman kuchanika mbavuuu
Basi mwenzangu siku hizi wamepoa alikuwepo matumbo nae alikua mtata balaa na wengii walikua wakimchamba warumi weweee

Hahahaaaa nakumbuka enzi hizo ilikua hatariiii mimi nilikua nasoma tu hata kufungua id sijui...
Pia ligi ya hao uliowa mention ilikua hatareeer
 
Last edited by a moderator:
Haijulikan kabisa, kuna watu walinichongea si unajua tena warumi alivyokuwa na maadui, bhas wakani report , yan nikiwajua nitawachamba we ngoja tu nafanya upelelez kimya kimya hawataamini

Hutawajua mpaka wajisemeee ukireport ni siri ya mods
 
Kumbe ndo janja zako hizi?

AAaaaaah aaah ebu tupishe, binamu ananipa maujanja

Ila Dinazarde nae kiboko, siri zote anatoa hadharan, kwel umbea upo kweny damu, mwenyew unaona mimi tu ndo nasoma aaaahh shaur zako
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaaah aaaaaaah aaaaaj aiseeh ntakupenda milele, maana shuruba tulizopitia mungu anajua, yan umbea huu binamu hakyanani ipo siku yatatukuta kwa kwel, maana tumezid umbea khaaa

Yaan zamani tulichambwaa haswa wewe mi nilikua nakusaidiaa,nawe basi ukichambwa kidogo tu huyo utatoa tusi moja ,,yanakuwah kureport unalimwa ban hhhhhhhaaaqq
 
Mhh mwenzangu nalinda heshma yangu,siwezi kuyasema mambo machafu vile hadharani...

Nimekuelewa shoga wala usijali nikupongeze kwanza mwanamke hulka mwenzangu kweli umefunzwa sio ka mama ndomo! thumb up to you lady!
 
Tyeeena Jana mchana Wema na diamond walikuwa pamoja shoppers sasa nyie vimbeni vidole hapa. Mapenzi ya wawili au wa 3 hayaingiliwi ohooooo. Juzi kwenye birthday mlishukwa shuuu sasa na hapa kuna watu mtajificha chini ya kiti sijui km kwa wanene patatosha
 
Na mbaaaado mtavimba hadi vidole Wema kimbizaaaaaaaaaa kwenye kona pshaaaaaaaaa

Hahaha am backoooooooo kimbunga kilinitupilia feri

Nilijua tu lazima ujee hhhhhaaa
Halaf nimeona kwa mange id yako ni wewe au mtu kakuigaa???
 
Aaaaaaah aaaaaaah aaaaaj aiseeh ntakupenda milele, maana shuruba tulizopitia mungu anajua, yan umbea huu binamu hakyanani ipo siku yatatukuta kwa kwel, maana tumezid umbea khaaa

sasa na vile vipande vya daidomo kwenye IN MY USHUZI ya mama ubaya, ataviondoa au? najiuliza tu
 
AAaaaaah aaah ebu tupishe, binamu ananipa maujanja

Ila Dinazarde nae kiboko, siri zote anatoa hadharan, kwel umbea upo kweny damu, mwenyew unaona mimi tu ndo nasoma aaaahh shaur zako

Sio siri hiyo wenzio hufanya humu wengi wana id nyingi tu,,hata mi nikifungua nafanya hivyooo
 
Last edited by a moderator:
Tyeeena Jana mchana Wema na diamond walikuwa pamoja shoppers sasa nyie vimbeni vidole hapa. Mapenzi ya wawili au wa 3 hayaingiliwi ohooooo. Juzi kwenye birthday mlishukwa shuuu sasa na hapa kuna watu mtajificha chini ya kiti sijui km kwa wanene patatosha

Ila binam ndoa ya uwanja wa taifa linii,,ili tufe kabisaaa
 
Nimekuelewa shoga wala usijali nikupongeze kwanza mwanamke hulka mwenzangu kweli umefunzwa sio ka mama ndomo! thumb up to you lady!

Sawa mpenzi,nashukuru kwa hilo...
 
Back
Top Bottom