Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

Yule mwanamke pale alipo hajitambui hata ukimuweka ndani hesabu kuugua presha.Mwanamke gani hana staha mbele za watu mjuaji yeye,mzuri yeye,mropokaji yeye,bingwa wa vigodoro,mama wa makiss aaargggghhhh!!!!

Na atakoma, huyo mkongo akimuacha atajifanya kurud kwa ndomo, ndomo akikubal tunamwagia tindikali

Huyo mama diamond anaonaje aibu sasa iv? Maana alikuwa anajishaua wema ndo mkwewe kiko wapi, toto lake lenyew bahil tupa kuleeee
 
Mi ile id yangu ya Gossipcopwarumi boko haramu washaiteka, sina hamu yan apa nikipigwa ban ndo bas

We ulifungua id kwa email moja ,ukifungua Id nyingine tumia email tofauti na warumi na pasword na kwa simu nyinginee hatawajuaaa
 
Last edited by a moderator:
Mi ile id yangu ya Gossipcopwarumi boko haramu washaiteka, sina hamu yan apa nikipigwa ban ndo bas

Wameitekaje?ukijaribu ku log in nayo inagoma?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa matangazo utafanya nini huko?afadhali la hoja na habari mchanganyiko kidogo

Kuchanganyikiwa mchezo, utashangaa umenikuta jukwaa la UDAKTARI chezeya vichambo, mpaka watu wanaji quote wenyew aaaaahhhhj
 
Kuchanganyikiwa mchezo, utashangaa umenikuta jukwaa la UDAKTARI chezeya vichambo, mpaka watu wanaji quote wenyew aaaaahhhhj

Hhhhhaaa,hua sisahau kuna siku ulijiqoute na ukajichamba mwenyewee
Nami kuna siku nilijiquote nikajichamba hhhhhaaa unachamba hadi unajisahauu
 
Na vya kurithi vinazidi shoga wee! kwanza ngoja hebu mwaga huo mchele wa uchafu wake leo siku ya wakereketwa wa timu makimba kimba zao umwage tushereheke zaidi.

Mwenzangu hilo nalo neno, atumwagie hayo mauchafu yake, maana mie presha ishanipanda apa ninavyopenda umbea
 
Kuchanganyikiwa mchezo, utashangaa umenikuta jukwaa la UDAKTARI chezeya vichambo, mpaka watu wanaji quote wenyew aaaaahhhhj

Hahahaaaaa nimecheka hatariiiii
 
Hhhhhaaa,hua sisahau kuna siku ulijiqoute na ukajichamba mwenyewee
Nami kuna siku nilijiquote nikajichamba hhhhhaaa unachamba hadi unajisahauu

Uwiiiii kweli nyie hatari,kumbe na wewe yalishakukuta eeh
 
Hhhhhaaa,hua sisahau kuna siku ulijiqoute na ukajichamba mwenyewee
Nami kuna siku nilijiquote nikajichamba hhhhhaaa unachamba hadi unajisahauu

Aaaaaaah aaaaaaah aaaaaj aiseeh ntakupenda milele, maana shuruba tulizopitia mungu anajua, yan umbea huu binamu hakyanani ipo siku yatatukuta kwa kwel, maana tumezid umbea khaaa
 
Uwiiiii kweli nyie hatari,kumbe na wewe yalishakukuta eeh

Wewe zamani hili jukwaa lilikua linavamiwaaa,tunamchangia Matola kumchamba mi na warumi,,,basi Warumi ananifata pm ananiambia binam Dina tunalichamba lakini linachamba hiloooo yaan nilitaman kuchanika mbavuuu
Basi mwenzangu siku hizi wamepoa alikuwepo matumbo nae alikua mtata balaa na wengii walikua wakimchamba warumi weweee
 
Last edited by a moderator:
Na atakoma, huyo mkongo akimuacha atajifanya kurud kwa ndomo, ndomo akikubal tunamwagia tindikali

Huyo mama diamond anaonaje aibu sasa iv? Maana alikuwa anajishaua wema ndo mkwewe kiko wapi, toto lake lenyew bahil tupa kuleeee

Hahahahahaa!
 
Na vya kurithi vinazidi shoga wee! kwanza ngoja hebu mwaga huo mchele wa uchafu wake leo siku ya wakereketwa wa timu makimba kimba zao umwage tushereheke zaidi.

Mhh mwenzangu nalinda heshma yangu,siwezi kuyasema mambo machafu vile hadharani...
 
Mwenzangu hilo nalo neno, atumwagie hayo mauchafu yake, maana mie presha ishanipanda apa ninavyopenda umbea

Bora wewe presha iliyokupanda mie natetemeka sijui nataka kuanguka kwa umbea......lol
 
Back
Top Bottom