Diamond aichomolea Yanga, yashindwa kufikia dau lake

Diamond aichomolea Yanga, yashindwa kufikia dau lake

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Jamaa bana wakimuomba Diamond akapige show siku yao ya jumapili pale kwa mkapa, maana wao wanacheza trh 4 na sisi tunaanza trh 3 kuutumia, tunaujambiaaa halaf wao wanakuja kutumia kudadeki, basi walimuomba mzee wa Komasava akapige show, unajua alichowajibu.

Aliwaambia anawaheshimu sana na anampenda sana manara ndio maana amemefuata jangwani lkn ukweli hawana hela ya kumlipa, wakamuuliza tukulipe sh ngap, akawaambia thaman yake show moja ni sawa na mapato yote ya mchezo wao vs Red arrows.Injinia akimshukuru akamwambian atamtafuta.

Hadi leo wamepoteana wakaona bora warudi kwa mla ngada wa kusini ambaye hana mvuto wowote, njia pkee iliyobakia kwao ni kuahidi supu tu
 
Jamaa bana wakimuomba Diamond akapige show siku yao ya jumapili pale kwa mkapa, maana wao wanacheza trh 4 na sisi tunaanza trh 3 kuutumia, tunaujambiaaa halaf wao wanakuja kutumia kudadeki, basi walimuomba mzee wa Komasava akapige show, unajua alichowajibu.

Aliwaambia anawaheshimu sana na anampenda sana manara ndio maana amemefuata jangwani lkn ukweli hawana hela ya kumlipa, wakamuuliza tukulipe sh ngap, akawaambia thaman yake show moja ni sawa na mapato yote ya mchezo wao vs Red arrows.Injinia akimshukuru akamwambian atamtafuta.

Hadi leo wamepoteana wakaona bora warudi kwa mla ngada wa kusini ambaye hana mvuto wowote, njia pkee iliyobakia kwao ni kuahidi supu tu
Wewe na Harmonize nani maarufu na nani mwenye uhakika wa milo mitatu?
 
Nguvu moja 💪💪

Tukutane Kwa Mkapa 8/8
 
JAPO huu ni udaku Ila katika MAISHA unahitaji kuwa inapiga mishindo ya HELA nyingi then unatulia unakula MAISHA hii diamond kafanikiwa.
 
Back
Top Bottom