ukute safari zake zoote kaishia buguruni kwingine anaambulia kuona kwa TV.Huyu mleta uzi hivi anaijua dunia kweli,hebu aende afghanistan au urusi au iceland akataje hilo jina aone watamjibu nini halafu arudi hapa atuambie kama kweli dunia anaijua au la
Mkuu kuna watu itakuwa wanaugua ugonjwa wa Diamond, kuna popoma mmoja kwenye uzi flani hivi alidai eti utajiri wa Diamond unaweza kununu nyumba zote za jijini DarHuyu mleta uzi hivi anaijua dunia kweli,hebu aende afghanistan au urusi au iceland akataje hilo jina aone watamjibu nini halafu arudi hapa atuambie kama kweli dunia anaijua au la
Kwa hiyo na wewe unaunga mkono uandishi wa namana hii "vumilia matusi kutoka upande wa pili
Mkuu kuna watu itakuwa wanaugua ugonjwa wa Diamond, kuna popoma mmoja kwenye uzi flani hivi alidai eti utajiri wa Diamond unaweza kununu nyumba zote za jijini Dar
huo mtetemeko uliuona peke yako?Kwa mtetemeko uleee?
hapana mkuu ni kumuelekeza namna nzuri ya kuandika ila sio kumtukanaKwa hiyo na wewe unaunga mkono uandishi wa namana hii "
Diamond aihenyesha dunia inatetemeka pande zote ushaidi huu pichani
"???. NI BORA KICHA KICHAA KULIKO KICHA ANAYEJIONA MZIMA!!!
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia ipi kijana? Mana hapo naona sceenshot za MTV Africa na BET Africa so kuna link gani na Dunia kutetemeka?
Tatizo alikuwepo mtu wa nuksi ndio maana hakupata tuzoHongera Diamond na wanamuziki wote.Ila watuhhawana kazi nyingine jamani.Kama mgempigia kura namna hii angeshinda hakika.Na wewe Dai mimi kama dada yako siyo kila kitu uwwke kwa mitandao uwe na faragha basi.Kwetu uchagani watoto wakiume uwa awafanyi hivo.Ni ushauri tu
Hao team kariakoo majungu ndio kwao,boss wao yupo kimya kwa vile wote wamekosa,angepata watandale ungemsikia na sababu zake za kitotohuo mtetemeko uliuona peke yako?
mbona jamaa alipiga show nzuri tu kuliko hata huyo wizkid anayesifiwa humu kinafki! mpeni tu haki yake jamaa,kwenye steji jamaa anafanya poa sn kwa afrika ukiachilia mbali kweny ukali wa mashairi.