Diamond aitikisa tena dunia kudadadeki, avuna tuzo za kutosha AFRICAN NAFCA

Diamond aitikisa tena dunia kudadadeki, avuna tuzo za kutosha AFRICAN NAFCA

Hongera yake, hard work pays...! ila hapo kwenye wimbo bora wa mwaka me sijaelewa, wimbo ndo kwanza una miezi 3-4 alafu unakuwa wa mwaka, wanaangalia vigezo gani hivi
 
Ridhiki kama imepangwa ipo tu hata kama watasusa wote waliosema hawampigii kura bila shaka wameona hili.
 
Sasa tuzo za kununua mnadani ndio mnatuletea hapa, tuzo hata hazieleweki kuwa zilianza hata mchakato wa kupiga kura hueleweki.

Hizi tuzo ni hela yako tu, ukipanda bei jamaa wanakutumia tu kwa njia ya MTN au posta alafu unaanza kupost insta hahaha, kweli kufulia kubaya.
 
Sasa tuzo za kununua mnadani ndio mnatuletea hapa, tuzo hata hazieleweki kuwa zilianza hata mchakato wa kupiga kura hueleweki.

Hizi tuzo ni hela yako tu, ukipanda bei jamaa wanakutumia tu kwa njia ya MTN au posta alafu unaanza kupost insta hahaha, kweli kufulia kubaya.

Hahaaa mara ya kwanza ulisema utatembea uchi mpka posta.....wewe lazma mchawi huyo kiba wenu hata miaka 20 hamuezi chibu mwambieni ajaribu maisha mengine....mziki umemfanya hata kodi y nyumba kashindwa kulipa.
 
umeongea pumba tupu ww.domo hana wimbo wa kumtoa hata msanii chipukizi.hafai.kwa kiba mtoto sana kimziki.huu ndo wakati wa kiba wakati huo wa BEFTA hamna msanii alieweza kufanya hivo.na bado.domo anaimba nyimbo za kitoto sana.
Mumeshanyooshwa nyinyi iliyobaki mujifariji tu maana hakuna namna tena, huyo kibatali hamfikii DIAMOND kwa lolote si kwa fedha,si kwa shoo,si kwa tuzo, si kwa matangazo, si kwa kupendwa na mashabiki(ushahidi page zao za mitandao),sikwa kuuza t shirt n..k . NGOJA NIKUPE KANUNI ZA HAWA WASANII ANGALIA ANAYEPEWA DILI ZA SHOO NYINGI NA ANALIPWA PESA NYINGI NDIYE ANAYEFANYA VIZURI SIO KELELE ZENU ZA KWENYE MITANDAO MUTAISHIA KUMUONGOPEA TU HUYO KIBATALI WENU KUWA ANAPENDWA KUMBE HAMNA KITU.
 
AFRICAN NAFCA ni tuzo gani tena? Nahitaji ufafanuzi pliiiiiiiiiiiz!
 
Hizo tuzo ni kabla hajajiunga na kampeni hata me nilipiga kura sasa hiz za juz juz cpigi
 
Kazi mnayo, cjui kwann nimefungua uzii huu, but cyo mbaya kuwapa neno la hekima acheni WIVU mmekua.
 
TUZO TANO(5)

(1) AYCA- Africa youth choice
Kwa kupost picha ya diamond (insta, facebook, au twitter) na kuandika hivi umepiga kura

@ayca_africa #AfricaYouthChoiceAward #AYCA2015
diamondplatnumz
✔Artist of the year
✔Best male artist

Vote pia kwenye website link
NOMINEES | AFRICA YOUTH CHOICE AWARD | I AM MADE IN AFRICA

==
(2) AEA - African entertainment awards USA Link
https://www.surveymonkey.com/s/VOTEAEA2015
Categories za diamond ni
✔Best male artist
✔Best male single
Piga mara nyingi uwezavyo

==
(3) AFRIMA - All africa music awards. Link
http://afrima.org/index.php/voting
Diamond yupo categories 4
✔Best male artist east africa
✔Artist of the year
✔Song of the year
✔Best African Artist in contemporary

==
(4) AFRIMMA - Africa music magazine awards. Link
Nominees 2015 |
Categories 7
✔Best male east
✔Artist of the year
✔Song of the year
✔Best collaboration
✔Afrimma video of the year
✔best dance video
✔Afrimma inspiration song (àlive)
Piga mara nyingi uwezavyo

==
(5) MTV EMA - Mtv europe music awards. Link
base.mtvema.com/vote
Category ya
✔Best african act
Piga mara nyingi uewezavyo
 
Last edited by a moderator:
mbongo fleva mondebinladen aka platnumz ametusua tena baada ya kuvuna tuzo ambazo kiba ataishia kuzisikia tu radioni.monde ameshinda tuzo ya msanii wa mwaka anaependwa zaidi na wimbo bora wa mwaka wa "nana".source:bongo5

vipi huko hawajui kama anapigia kampeni CCM??
 
Back
Top Bottom