[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mcha_mbuziMbona povu tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ishoga boy
Simu yangu haisapoti kutuma pichaHabari ili iwe habari jukwaani
1.kichwa cha habari
2.hoja husika
3.picha ya kusukuma hoja
Letaaa pichaaa
Huu wivu sasa mkuu... mbona povu limekutoka mapema sanaAina ya mashabiki wa domo ni sawa na aina ya mashabiki wa bashite...feki feki tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] umenifurahisha sana kakaAina ya mashabiki wa domo ni sawa na aina ya mashabiki wa bashite...feki feki tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Si uweke picha bana, hii maneno fake fake haitakiwi, halafu nasikia perfume ya dogo ukujipulizia mpaka nyuki wanakufuata!!!!
Picha za SHOW zitafuata muda si mrefu,kwanza angalia hii clip kisha otea hiyo shoo ilikuwaje.Si uweke picha bana, hii maneno fake fake haitakiwi, halafu nasikia perfume ya dogo ukujipulizia mpaka nyuki wanakufuata!!!!