Ni sawa na kusifia msanii mmoja kujaza watu tamasha la fiesta. Kiki za kipuuzi kabisa.Diamond ameweka historia ya kuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kujaza uwanja wa Golf uliopo kwenye mji wa kitalii wa livingdtone Zambia
View attachment 503051View attachment 503052View attachment 503053
Diamond pia atatumbuiza kwenye mji mkuu wa Lusaka baadae mwaka huu
Hahahha hebu taja wasanii wa zambia waliokuwapo kwa hilo tamasha shirikishi. Sifa za kipuuzi kabisaUkweli huyu jamaa level zake asa iv ni za mbali sana maana kauthibitishia umma kuwa anakubalika kila sehem siyo bongo tu.....maana jana kajaza uwanja kabisa tena nchi ya ugenini.
My take acheni kuwa mnamlinganisha diamond na mambo za kijinga.
Ukweli huyu jamaa level zake asa iv ni za mbali sana maana kauthibitishia umma kuwa anakubalika kila sehem siyo bongo tu.....maana jana kajaza uwanja kabisa tena nchi ya ugenini.
My take acheni kuwa mnamlinganisha diamond na mambo za kijinga.
Huyo ndio Simba kiboko ya ali kibakuli 🙂 afu ungeeka ka video or ka picha huu uzi ungekuwa mtamu sana
Diamond ameweka historia ya kuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kujaza uwanja wa Golf uliopo kwenye mji wa kitalii wa livingdtone Zambia
View attachment 503051View attachment 503052View attachment 503053
Diamond pia atatumbuiza kwenye mji mkuu wa Lusaka baadae mwaka huu
Hahahha hebu taja wasanii wa zambia waliokuwapo kwa hilo tamasha shirikishi. Sifa za kipuuzi kabisa
Ni sawa na kusifia msanii mmoja kujaza watu tamasha la fiesta. Kiki za kipuuzi kabisa.
Mbona unahangaika sana Mamdogo..!!?
Mnahangaika ninyi na uwongo wenu. Mnashindwa kujiamini na kueleza kuwa wasanii wa zambia na mondi wajaza nyomi. Wapeni credit na wao banaMbona unahangaika sana Mamdogo..!!?
Kweli ww sumu na hii sumu inakuua mwenyewe ndani kwa ndaniHaaaa diamond naye si bashite tu @ bora kiba mara 100000000 kuliko huyu anayejiita simba kumbe ni nyau tu
Ma'mdogo huu mchezo hautaki hasira,HIYO UNAOLAZIMISHA WEWE NI SAWA NA KUSEMA SHOO YA MOMBASA CHRISS BROWN HAKUJAZA YEYE KWA VILE PALIKUWA NA WASANII KIBAO WA NYUMBANI.Mnahangaika ninyi na uwongo wenu. Mnashindwa kujiamini na kueleza kuwa wasanii wa zambia na mondi wajaza nyomi. Wapeni credit na wao bana
Mm najua aliejaza huwo uwanja ni mond hao wasanii unaowasema wataje ww mm siwajuiHahahha hebu taja wasanii wa zambia waliokuwapo kwa hilo tamasha shirikishi. Sifa za kipuuzi kabisa
Watu tunaangalia who is main artist....kwenye hiyo show watu kibao wamekuja kwa ajili ya mond na si local artist....mond punguza kidogo maana balaa lako moja tu nchi inatikisikaMa'mdogo huu mchezo hautaki hasira,HIYO UNAOLAZIMISHA WEWE NI SAWA NA KUSEMA SHOO YA MOMBASA CHRISS BROWN HAKUJAZA YEYE KWA VILE PALIKUWA NA WASANII KIBAO WA NYUMBANI.
Huyo ma'mdogo hapo juu anajaribu kutaka nafuu kutokana na upuuzi wa "king wao" na shoo zake za chumbani na kuzipa jina la "world tour" wakati hata Rayvann yuko juu.Watu tunaangalia who is main artist....kwenye hiyo show watu kibao wamekuja kwa ajili ya mond na si local artist....mond punguza kidogo maana balaa lako moja tu nchi inatikisika
Hahahaaa ngoja povu liwatokeHuyo ma'mdogo hapo juu anajaribu kutaka nafuu kutokana na upuuzi wa "king wao" na shoo zake za chumbani na kuzipa jina la "world tour" wakati hata Rayvann yuko juu.
Angalia upuuzi unaoitwa "world tour" sasa unafikiri kwa nini mashabiki wake wasije kudis NYOMI la MOND ??
Wewe huoni hao wengine ni wasindikizaji?
Mwambie huyo.....izi siyo show za sebuleni kama anazofanya mwafulaniWewe huoni hao wengine ni wasindikizaji?
Ata Cassper Nyovest alijaza uwanja wa mpira lakini waliperform wasanii kibao kuanzia Wizkid , Nasty C , mtee lakini record imeandikwa kwamba Cassper ndo kajaza