badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,112
ukienda Malaysia kila Apartment ina swimming pool na ni kitu cha kawaida sana lakin nawashangaa mnaona ni issue kubwa kweli umasikin mbaya
eeh jmn msitulaumu,tumezaliwa africa sie na bado tupo,kuwa na pool bado kwa hapa bongo ni lazma uwe nazo ,...na mie hadi nijenge hyo pool ka kweli,au unasemajee dr?