Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Harmonize ashawambia hainistiuHarmonize bado wewe usituangushe. Kale kazee lazima kashikishwe adabu. Hakajafunzwa tangu utoto wake.
Tuwataje kama vipi? HahahaKajibu kijanja, kama anamwambia dem ila tumeelewa.
Wale wa no kiki no busta Sijui wanaweka wapi sura zao.
Shabiki tu, ila unajidai msemaji wa mond na familia yake.
Yule Jamaa Kigoma IndependentTuwataje kama vipi? Hahaha
Wahi kwenye maombi mkuu sio bure haha.Hamna siku nimehangaika kutafuta porn kama leo. At last najikuta hapa... This is not fair
Kaka futa huu Uzi unakushushia heshima inamaana alikiba Ni ex girlfriend wa diamond?Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa.
Nb; Mimi nimeleta taarifa tu..
View attachment 1588623
Huu wimbo ulikiwepo kabla hata ya disstrack ya alikiba Kama ulifuatilia insta story ya sallam kipindi anatusikilizisha nyimbo za wcb ambazo hazijatoka huu pia aliu_play kionjo kabla hata alikiba hajatoa disstrack yake pia Kuna wimbo mwingne unaitwa zuwena wenye maadhi haya haya.Kwahy broh siyo kweli kwamba hii Ni disstrack kwa kiba.OverBaada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa.
Nb; Mimi nimeleta taarifa tu..
View attachment 1588623
Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa.
Nb; Mimi nimeleta taarifa tu..
View attachment 1588623
🤣🤣Igombanapo misukule ya CCM chukua shuka ukalale
Hii nyimbo angempa zuchu ingenoga sana maana ndo mikato yake halafu najaribu imagine sautti ya kike kwenye hii song naona ingenoga zaidiBaada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa.
Nb; Mimi nimeleta taarifa tu..
View attachment 1588623
nyie mashabiki uchwara wa bwana kiba mna shida Upstairs bila shaka hii nyimbo Diamond alikua akishare vipande vyake karibu mwaka/miaka miwili nyuma wakat ame achana na baby mama wawake na hata ukisikiliza ni anamuimbia Ex wake iweje useme ni diss track kwa kiba ama mna taka kutu aminisha kua boss wenu kiba alkua ni Chakula cha DP yaani alkua akifumuliwa mrota???Baada ya alikiba kutoa diss track yake inayokwenda kwa jina la mediocre.
Ikielezwa kwamba ni dies kwenda kwa diamond...
Sasa mlengwa mwenyewe yaani diamond ametoa track yake inayokwenda kwa jina la "haunisumbui" ikielezwa kwamba ni diss yaani comeback kurudi kwa alikiba
Nategemea pia mawe hapa.
Nb; Mimi nimeleta taarifa tu..
View attachment 1588623