[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yoooo!!me nishapiga Adi za FIFA sema sipend showoff
Siku hz namshabikia Mondi badala ya T.Stars..Hongera zake[emoji122][emoji122]
kakabidhiwa viatu vilivyowashinda Taifa stars.
Taifa Stars mna cha kujifunza hapo....
Bendera kakabidhiwa muimbaji, badala ya wachezaji[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
kudhihirisha mmeshindikana[emoji31][emoji31]. aibu gani hii
duuuuuuHahahaa we jamaa bhana
Labda ndo MC !Huyo Joti kafata nini hapo?
so what does that has to do with "diamond na bendera"? au dstv ndo wadhamini wa michuano?Joti no balozi wa dstv tanzania
Watoto wanamjua diamond na joti zaidi yA.................Huyoooo c Joti
Naye anaenda au?
Team Kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Waziri Nape nauye amemkabidhi bendera ya Tanzania msanii Diamond platnumz ambae kesho anaondoka kwenda nchini Gabon kutumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON itayoanza weekend hii.
Diamond na msanii maarufu Mohombi mwenye asili ya Congo wameshirikiana kutunga official song ya michuano ya Afcon2017 na watatumbuiza nyimbo hiyo kwa Mara ya kwanza siku ya ufunguzi Jumamosi.
Diamond anaweka record ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kutumbuiza kwenye michuano hiyo tangu ianzishwe.
View attachment 458127
alafu ate, ''oooooooooooooooooooo jamaa mjanja mjanja''. Fanyani na nyie ujanja ujanja mtusue.Alafu utasikia pimbi tu asiejua lolote anakwambia mondi ananunua wendawazimu wao wa