Diamond akabidhiwa Bendera na waziri Nape kuelekea ufunguzi wa Afcon2017

Wana swaga yao ya siku nyingi iliyokosa promota wanasema " DIAMOND NI MFANYABIASHARA WA MUZIKI SI MWANAMUZIKI" na watakutajia waliowahi kusema hivo, LAKINI CHA AJABU WAO WANAMUZIKI WANAISHIA MOMBASA KUFANYA SHOO,INA MAANA HATA MAPROMOTA WANAOWAITA WASANII KUFANYA SHOO HAWAWAONI WANAMUZIKI WANAMUONA MFANYABIASHA YA MUZIKI.
 
Hivi hawa wakina Jamal Malinzi hawaoni AIBU kuwa muda bote waliokaa hapo FAT hawajafanya kitu chochote cha maana zaidi ya kwenda kuhudhulia mikutano ya CAF??
 
Hiyo show sasa navomfahamu mond stejin hahhaaa hatar...sana
 
Huyu Diamond kuhusu issue za Africa naona imeshakuwa kawaida ninacho subiri ukurasa wa yeye na wanyamwezi ufunguke kwakuwa ameshamaliza Africa ahsante Chibu
 
"Kuna vituvitu vya kushobokea, sio hivyo"
in dimpoz voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…