Diamond akabidhiwa Bendera na waziri Nape kuelekea ufunguzi wa Afcon2017

Diamond akabidhiwa Bendera na waziri Nape kuelekea ufunguzi wa Afcon2017

Kila la kheri diamond ukawanyooosheeeeee
 
Mbadala wa taifa stars ni nasib . Ndio maana serikali haikaukagi ofisi za wcb.
 
kuna watu hapa mav.i yamewabana, kuny.a hawanyi kujamba hawajambi ila ndo hivyo tena wafanye nini!!! Hongera sana diamond, uzidi kubarikiwa!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]
 
Wana swaga yao ya siku nyingi iliyokosa promota wanasema " DIAMOND NI MFANYABIASHARA WA MUZIKI SI MWANAMUZIKI" na watakutajia waliowahi kusema hivo, LAKINI CHA AJABU WAO WANAMUZIKI WANAISHIA MOMBASA KUFANYA SHOO,INA MAANA HATA MAPROMOTA WANAOWAITA WASANII KUFANYA SHOO HAWAWAONI WANAMUZIKI WANAMUONA MFANYABIASHA YA MUZIKI.
Hawachomozi apa, wataishia kuchungulia na kurudi kwa hasira
 
Ataanza kutumbwiza siku gani na saa ngapi wakuu nimuangalie kijana
 
Si alisemwa humu kuwa atapotea kama Marlaw kisa kashiriki kampeni za uchaguzi.

Kumbe bado yupo??
 
Chibu yuko poa...wabongo hawana kawaida ya kumpongeza mtu.

Anafanya kazi nzuri. ...imefika wakati kusapoti kila kitu kwa maslahi ya taifa. ...

Tusisibiri soka hata tukimpa sapoti Mondi ataitangaza nnchi pia.
 
Back
Top Bottom