Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
arifu nilikuwepo......dogo ana possibility kubwa ya kuukwaa umeme..maana wale mashori waliokuwa wanamkumbatia lazima wawe na ngoma.....
liumba.......>sada ******........>chalz baba......>chalz baba......>wema.....>wema.....diamond!dah!!!!Mungu atuepushe na hili gonjwa kama ukipiga mwenye nalo nawe unapata basi balaa!
huyu wema atatuua wengi kama anao
Mkuu gonga hapa uone kama niudaku au nikweliPicha hazioneshi kama kakataa kupokea, hawa wanataka kutengeneza tukio waandikwe na kupata nafasi kwenye magazeti na huu mchezo una wachezaji wengi ukidhaminiwa na mmiliki wa magazeti ya udaku
Upo bongo?Naona watu washaanza kudondokeana hapa
Muuza Sura nitafutie na mie contact za mcheza shoo mmoja wa Diamond:biggrin:
Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!Naona watu washaanza kudondokeana hapa
Muuza Sura nitafutie na mie contact za mcheza shoo mmoja wa Diamond:biggrin:
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
muuza sura umerithi kazi ya Bilali na Fide?Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
Muuza Sura wewe dalali?
muuza sura umerithi kazi ya Bilali na Fide?
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!
Vip bana kuhsu ile ishu?