Diamond akataa hela ya Wema stejini...

Diamond akataa hela ya Wema stejini...

arifu nilikuwepo......dogo ana possibility kubwa ya kuukwaa umeme..maana wale mashori waliokuwa wanamkumbatia lazima wawe na ngoma.....

Ebana nilimuona Jokate kaa alikuwa kachanganyikiwa hivi....ila kweli dogo inabidi awe makini sana.
 
liumba.......>sada ******........>chalz baba......>chalz baba......>wema.....>wema.....diamond!dah!!!!Mungu atuepushe na hili gonjwa kama ukipiga mwenye nalo nawe unapata basi balaa!

huyu wema atatuua wengi kama anao
 
liumba.......>sada ******........>chalz baba......>chalz baba......>wema.....>wema.....diamond!dah!!!!Mungu atuepushe na hili gonjwa kama ukipiga mwenye nalo nawe unapata basi balaa!

huyu wema atatuua wengi kama anao

Teh teh teh Diamond kampa fundisho
 
Naona watu washaanza kudondokeana hapa

Muuza Sura nitafutie na mie contact za mcheza shoo mmoja wa Diamond:biggrin:
 
Naona watu washaanza kudondokeana hapa

Muuza Sura nitafutie na mie contact za mcheza shoo mmoja wa Diamond:biggrin:
Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
 
Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!

Vip bana kuhsu ile ishu?
 
Visa vingine bwana havina hata maana. Kwa hiyo kuaibishana ndio mnaona fashion au? Jambo usilopenda kufanyiwa wewe usimfanyie mwenzako hata siku moja. Mtu anakuzawadia kwa upendo halafu unamfanyia mambo ya ajabu. We ngoja nitampa ofa ya kazi Diamond halafu nimfanyie unyambilisi huo huo kama aliomfanyia wema ili aone utamu wake.
 
Mkuu wewe atakufaa yule katika shooting ya suma lee au mmoja katika shooting ya queen darlin!tukutane coco lounge weekend moja nikutupie jombo moja!
muuza sura umerithi kazi ya Bilali na Fide?
 
mimi sio shabiki wa wema sepetu wala diamond lakini mimi sijaona kama diamond kamfanyia fair wema kama kweli hawajapanga hivyo ili ku make headline.
ningeona kawaida kama hela za watu wote alizokuwa anapewa anazikataa but akufanya hivyo kwahiyo hapo diamond kaonyesha bifu waziwazi kwa wema .
 


Safi sana pesa ahongwe huko kwa kumegwa alafu aje ahonge tena mwanaume aaah hii hata Quruani imekataza
wewe pesa zote unazopewa hata na marafiki au ndugu zako unajua zimetoka wapi?
 
Kuna watu humu jf wanapewa pesa zosizo na maelezo yaani za bure bure bila jasho i doubt????
 
upuuzi mtupu. Mungu akupe akili na sura mbaya lakini si akupe uzuri na akunyime akili. Wacheki mainjinia wa kike walivyo na sura ngumu lakini wanamaisha safi na kazi za ukweli.kuliko huyu wema anayeishi kwa kupanua paja.
 
Diamond ni uswahili unamsumbua. tofauti zao zinahusika vipi kwenye tamasha lake? Wema kamtunza kama shabiki aliyeguswa na nyimbo zake, kama alivyotunzwa na wengine, iweje akatae mbele ya kadamnasi jamani. Kumtoa mtu tandale halafu utegemee atakua kama alokulia Mikocheni na kusoma Laureatte International ni vitu viwili tofauti. Kajidhalilisha yeye wala si Wema.
 
Mkuu unajipigia pasi ama? Yani unapiga kona, kisha unaiwahi na unapiga bao mwenyewe?lol!

Vip bana kuhsu ile ishu?

hahahahha!mzee weekend ndefu inakuja lazma uangalie jinsi ya kupata kitu kipya!!!ile kitu mkuu haisomeki someki bado si unajua kipindi kile anaondoka mjini alituacha wakina sisi hata ukali wa mjini hatujaupata kwa hiyo mbinu pekee ya kumleta karibu ni kumuuzia sura tu!
 
Back
Top Bottom