Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Chomoka na kichwa cha story hapo hewan mwanawane
Naweka mambo sawa kwanza mimi ni team hapa kaz tu, team mama angelina mabula na team yanga mtoto wa london ilemera boy
Kuna kitu nimekifatilia mda mrefu sana juu ya wasanii wetu wawili ambao ni wabana pua wakubwa
Kiba na dimond
DIMOND akikosea hutukanwa sana na watu huitisha kampen za kumususia et anatukana wananawake mara ooh sijui analinga sana na maneno kibao
Hata kama akitoa ngoma mbaya huchekwa sana na watu humutupia matus ya nguon kwa mama yake na watu huungana kumuzodoa kuwa yeye hawez mziki labda atafute kaz nyingine kama za uganga na unajimu
Kwa kifupi jamaa ndo maana huogopa kuachia ngoma mbaya ili asije kuchekwa maana ana maadui zaid ya mashabiki
KIBA kwanza huyu jamaa huitwa king wa tz jamaa ana saut flan fresh sana na hajawah kuchuja na watu wana mpenda sana hata wasanii wenzake pia wanampenda sana
Jamaa anafanya kweli kwenye game ya bongo mshikaji ana ngoma kali sana hata kama zikipigwa hapa usipotikisa kichwa lazima utachezesha miguu
Kama kawaida ya msanii huwez kutoa ngoma nzur miaka yote
Jamaa akitoaga ngoma mbaya hutetewa sana na hupigiwa promo kishenz na wadau wa mziki na mashabiki na wapenz wa mziki
Watu hujifoce sana kuipoke ngoma na kuifanya kuwa nzur hata kama ni mbaya
Maadui wa domo huungana na kuipigia promo ngoma ya jamaa hata kama ni mbovu
Mshikaji hanaga maneno na mtu kabisa
MIMI NAHISI HAWA WATU WANEKUWAGA WANATOKA MIKOA TOFAUT WATU WANGEHUISHA NA UKABIRA
HAWA WASHIKAJI WANGEKUWA NI DIN TOFAUT WATU WANGEHUSISHA NA UDINI
Ni hayo tu
Mmoja akikosea hupambwa sana na mmoja akikosea huzodolewa kinoma
LONDON BABY, LONDON BOY