Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hakika huu ni ushamba wa hal ya juu alionesha diamond! Kama kweli alikuwa na busara kulikuw hakuna haja ya kuweka mambo ya private kwenye mitandao! Hii inasaidia nini kama si utoto? Huu si uanaume kabisa!
Kwani kama angemkatalia tu yakaisha kuna haja gani kuweka mambo haya kwenye mitandao?
Hii yote ni kumdhalilisha tuu mwenzie na hii si nzuri kwa diamond!time will tell.
Hakika huu ni uttoto+ujinga wa ngazi ya shahada amabao kaufanya diamond!
alichofanya ni zaidi ya ushamba.....
Ulimbukeni wa hali ya juu
ujinga to the highest point.....
Halafu anajiita mwanaume ni mwanaume au wa kiume....? Au anatumia naniliu kufikiri.......