Diamond akimtosa LIVE Wema kwenye simu

Status
Not open for further replies.
Mambo ya ndani sana hayo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

alichofanya ni zaidi ya ushamba.....
Ulimbukeni wa hali ya juu

ujinga to the highest point.....

Halafu anajiita mwanaume ni mwanaume au wa kiume....? Au anatumia naniliu kufikiri.......
 
Wengine wataona alicho fanya ni sawa lakini si utu kabisa na ni zaidi ya ushamba wala si la kuchekelea kabisa! Me namshangaa sana na kwa hili amefika pabaya na huu ni udhalilishaji kabisa! Yani huyu dogo aisee kwa hili amenikera sana!
Aisee huu ni ulimbukeni wa hali ya juu!
alichofanya ni zaidi ya ushamba.....
Ulimbukeni wa hali ya juu

ujinga to the highest point.....

Halafu anajiita mwanaume ni mwanaume au wa kiume....? Au anatumia naniliu kufikiri.......
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…