episode nzima ilikuwa hivi....View attachment 71572nasikiaga wanasemaga wanja sunna ni hadi kwa watoto wa kiume? watu ndomo ndomo ndomo woyooooooooooooooooooooooTupia wanja pale kati!
Na wewe unapaka wanja au una-mapenzi yaliyopitiliza kwa Diamond? Tuwe wazi kama kitu hakikubaliki katika mila na desturi yetu na kikafanywa na umpendae kubali kusema nampenda ila hapa kapotoka,Si mapenzi yanazidi hadi yakufanya unakuwa zoba.Wewe acha ushamba wanja unapakwa pia na wanaume ,angalia waarabu wengi wanaupaka,unafaida nyingi mno kwenye macho,labda hilo la kuvua chupi ndio la kustaajabu hapa kwetu Tz,lakini pia nalo nchi nyingine hawatalistaajabu kwa sasa,sanasa watakustaajabu wewe unayelistaajabu.
Hivi hawa mastaa si wanaliwa ga migongo na yule mwarabu mzee wa t.o....alieibwa na mista naisi,duli nae nasikia ga alishatafunwa na mpita njia,mwenye kujua zaidi atuhakikishie hapa.