isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,407
Wewe acha ushamba wanja unapakwa pia na wanaume ,angalia waarabu wengi wanaupaka,unafaida nyingi mno kwenye macho,labda hilo la kuvua chupi ndio la kustaajabu hapa kwetu Tz,lakini pia nalo nchi nyingine hawatalistaajabu kwa sasa,sanasa watakustaajabu wewe unayelistaajabu.
