Diamond akiwa Malaysia

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393


View attachment 112590

Tumefika salama in Malaysia tayari kwa show atakayoifanya Prince of bongo fleva & CEO of WCB, Ngololo master, Diamond.

Na pic hiyo ni sehem ya chumba alimofikia 9anaonekana kwa mbali)

Updates zote za picha ntakuwa nawawekea.
 
Hongera leo umetumia lugha fasaha,nadhani ulikwenda kozi kidogo ya lugha yetu,kila la heri tunamtakia
 
Sijaelewa kitu hspa bado, labda mlets mada hajawahi kulala Hotel. sisi tunaolala Hotel kwenye room za Presidential suite sijui tusemeje!! keeli ulimbukeni mbaya sana.
 
Sijaelewa kitu hspa bado, labda mlets mada hajawahi kulala Hotel. sisi tunaolala Hotel kwenye room za Presidential suite sijui tusemeje!! keeli ulimbukeni mbaya sana.

kweli mkuu bado sijapata mantiki ya hii picha!!
 
Tunajadili kitanda na hotel aliyofikia au tunatakiwa ka great thinkers tujadili kilichompeleka huko na kina tija kiadi gan kwake na kwa taifa kwa ujumla?

Au ndio tukisikia kakamatwa na poda malay tunaanza kulalama na mzee anatumia kodi ya watanzania kwenda kumtoa?
 
Sijaelewa kitu hspa bado, labda mlets mada hajawahi kulala Hotel. sisi tunaolala Hotel kwenye room za Presidential suite sijui tusemeje!! keeli ulimbukeni mbaya sana.
hapo chachaa kamanda inaonekana akilala belela presidential suite angeota alooo..mbona chumba cha kawaida sana hicho,japo dongo anaitaji pongezi ana jua kuingiza pesa
 
We need good performance!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu inaelekea wewe huwa unalala kwenye maguest house na mahostel. mbona hiyo room ni ya kawaida sana? sanasana inaweza kuwa level ya executive room.

mkuu Matola nazungumzia kimziki sio hiyo hotel room?guest za tandale kupigana deo nilishaacha kitambo
 
Akafanye kazi ya maana huko ninanamwaminia kijana awakilishe kisawa sawa...sio mambo ya kuuza sura tu..
Best wishes!
 
Watanzania bana,me nimetoa taarifa kuwa
mwanamzik wa Tanzania,Diamond na WCB wameshafika nchini Malaysia
Tayari kwa kufanya concert kesho.na hapo
hajiwakilishi yeye tu,anatangaza na kuwakilisha nchi yetu pia
watu wanaanza kujadili,kuponda kitanda/chumba duuh
 

huoni kwamba wewe ndio una matatizo!, chumba cha nin?,, we ungetoa taarifa tu inatosha, kwani safari nyingine huwa halali hotelini?,, mwisho wa siku mtaanza kutuonyesha hadii vyoo,, kwanza hakuna jipya kwenye hicho chumba, pili.. Sio muhimu sisi kujua analala wapi, labda subiri siku akiwa anafanya show utuonyeshe mahali na mahudhurio.. Hope umenisoma.
 

Na wewe ndo umewapa cha kuongea,kulikua na haja gani ya kuweka iyo picha ya sehemu atakayo lala?????????
Kila la kheri kwenye show yenu.
 
Na wewe ndo umewapa cha kuongea,kulikua na haja gani ya kuweka iyo picha ya sehemu atakayo lala?????????
Kila la kheri kwenye show yenu.

Unatakiwa ujue hatua kwa hatua,mefikia wapi mpka onyesho lenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…